Walikuja na ahadi kedekede wakati wa uchaguzi mkuu, zile zilizokuwa kwenye ilani yao ya uchaguzi (CCM) na nyingine za papo kwa papo ila mbona hii ya kuuwa raia wasiyo na hatia kwa kulitumia jeshi lao la polisi hawakuitangaza?
Hakika hii ndo ahadi waliyofaulu kuitekeleza vyema na kwa usahihi ila wakumbuke The Hague haikujengwa kwa ajili ya akina Pinochet peke yao.
Hakika hii ndo ahadi waliyofaulu kuitekeleza vyema na kwa usahihi ila wakumbuke The Hague haikujengwa kwa ajili ya akina Pinochet peke yao.