MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,432
Ni vizuri wawaambie na wajue kuwa kila wanalofanya linawekwa kwenye record. Tena ningependa CDM waanzishe Tume ya Haki za Raia na za Binadamu ambayo itakuwa na kazi ya kurekodi vitendo vyote (na wanaoviteda) vya kuvunja haki hizo.
Hili ndio bandiko bora kwa mwaka huu 2012!!!!