12STONE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 1,184
- 398
Ndoto ya mwendawazimu!!!!!
NI Zitto AU Slaa? Bado hakijaeleweka.
Kwanza malizeni mgogoro ndani ya chama, IKULU baadae.
DEMOCRACY NOW.
CHADEMA Wameyakabili matatizo yao. CCM kila kitu mmeshindwa,Majangili waua Tembo wana nguvu kuliko Serikali ya CCM.Madawa ya Kulevya Yanaingizwa Nchi imeigezwa kuwa uchochoro, Migogoro ya Wafugaji na Wakulima inaongezeka badala yakumalizika. CCM HAIONYESHI DIRA YAKUENDELEA KUTAWALA ZAIDI.