12STONE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 1,184
- 398
CHADEMA walianza kama hawapo na hakuna aliyedhania kuna siku CDM kitakuwa chama kikuu cha Upinzani ni Mwl. NYERERE peke yake aliona mbali kwa ajili ya CHADEMA.
Graph yao haijawahi kushuka kila tunapofanya Uchaguzi. wengi bado ni vipofu hasa MACCM watakuja fumbuliwa macho CHADEMA TAYARI WAKO IKULU.
Graph yao haijawahi kushuka kila tunapofanya Uchaguzi. wengi bado ni vipofu hasa MACCM watakuja fumbuliwa macho CHADEMA TAYARI WAKO IKULU.