CHADEMA hopeless

CHADEMA hopeless

No one will ever convince me to join cdm even if you hold a double barrel "canonized" gun on my head. No one has ever denied you your rights in Tanzania, that is what we call a white lie. In the past six Years Kikwete has given you more than what you deserve. Could you have practiced your "mind" less type of cheap politics before Kikwete's term? Never. The peoples have decide just last October, that cdm is not yet fit to rule. Losing the Internationally observed elections just few months back is the major reason of this cheap politics which does nothing other than proving that you are all zombies who blindly follow the commands of a master who has even failed to lead his congregation and the other an alter boy at the discotheque.
I think in this thread you are the zombie.
 
Watanzania habarini! nchi inapita katika kipindi kibaya kwa vile kuna baadhi ya wananchi wanatumia vibaya uhuru wa nchi na demokrasia. KILA siku wanataka shwari, wao amani ni kikwazo kwao kukaribia jumba la magogoni. Mwaka jana walichukua fomu na kujaribu kulifikia JUMBA la Magogoni, hata hivyo watanzania wakawaacha kwenye mataa kwa vile sera zao za PANGU PAKAVU zikakataliwa na watz.
Wakaona maamuzi ya wananchi ni mabaya hivyo;-

1. Wakasusia hafla ya kutangazwa matokeo ya URAIS
2. Wakasusia sherehe za kuapishwa Rais na TV wakazima
3. Wakawahi Dodoma kupokea posho za Ubunge
4. Wakasusia hotuba ya ufunguzi wa Bunge iliyofanywa na RAIS
5. Wakavunja umoja na vyama vingine vya upinzani BUNGENI
6. Wakavuruga zoezi la uchaguzi wa Meya wa Jiji la Arusha
7. Wakazindua zoezi la maandamano endelevu nchini ANGENDA KUU IKIWA NI UFISADI NA KATIBA MPYA.
8. Wakatangaza wataendeleza maandamanoi nchini pamoja na Serikali ya CCM imekubali kuwepo na mjadala wa KATIBA na KUPIGA VITA UFISADI NDANI YA CCM NA SERIKALI.
9. Wakadandia MISIBA ILIYOTOKEA NYAMONGO.

HIZO NI VIASHIRIA VICHACHE JUU YA UENDESHAJE WA CHAMA FULANI CHA SIASA AMBACHO KINATAKA KUISHI KATIKA JUMBA LA MAGOGONI PASIPO KUTUMIA SANDUKU LA DEMOKRASIA.

TAFADHALI WATZ TUENDESHE MAOMBI KWA CHAMA HIKI KISICHO NA MTAZAMO WA UTAIFA NA TANZANIA KWANZA ILI WAONDOKANE NA STYLE YS SIASA WANAYOITUMIA KWANI INA MADHARA MAKUBWA KWA WANANCHI.

SINA HAJA YA KUTAJA CHAMA HUSIKA KWA VILE WANA JF WOTE WANAKIJUA CHAMA KINACHOENDA NJE YA MSTARI NA KOTOJALI MAMLAKA YA DOLA ILIYOPEWA RIDHAA NA WANANCHI.


Nimefurahia sana thread yako, lakini nimependa sana hapo kwenye red! hawa jamaa wanaingiza siasa mpaka kwenye maiti jamani??? Poor CDM
 
fikra zako ni mgando, na wazi unaonyesha wewe ni gamba. nenda loliondo
 
my research is ready. I used an elementary elinglish to let members of cdm understand and yet stil a problem. What I know is that those who know little pretend to know much. Chadema leaders and members have to attend a logic subject other wise all are realy an empt hole of reasoning which leads to nagative action. YOU SEARCH POPULARITY TO DEAD BODY. EMPTY BRAIN
 
you are also been taken by Chadema's wind
. Use your brain to visual beyond horizon. chadema is a Company owned fem noise maker. Go 2 sleep. Leave the tanzania poor but rich in peace.

We have heard that some for sometime, there is no peace without justice, there will NEVER be peace when a few tANZANIANS benefit from our wealth while the majority live in poverty. You sound like that small group of tANZANIANS, for us the poor we have nothin to loose!
 
poor people have got nothing to loose except chain of exploitation
 
i do not believe if Tanzania have such mental thinking. The Global of bussines is looking Tanzania as people of same thinking. Chadema now is a problem to the country. They are not a political party but a gang. Poor Tanzania i wish Gadafi could be in the country. Gang party chadema. Is a doomed party for the peace of the country.
What has Gadaffi to do with anything in our country's situation? Is it some kind of religious crap of yours as usual or what..? You guys and your kind are so stupid that I doubt if you can use even a cent of your brain to think about facts and analyse them before giving your stupid comments. If CHADEMA is what you suggested earlier then tell us your hope. Is it Magamba or CUF with their Li Pumba?
 
I now agree with people who think you have your interest threatened with CDM. I want to congratulate you and your party in the pocket for undermining NCCR-M which you people went to register to cover your dubious interest.

The mention of "Global Business" confirms your agenda that TZ is nothing but a business. That is possible with myopic CCM the veteran GANG. Thanks to CDM for awekening the public that the "governors" rather reaped off by a small group in the payroll of foreign paymaster advocated by scavenging dogs trying to derail the momentum. As for you thanx for revealing your line of thinking "The Gang" struggle continous until Victory.

What was that again about CDM being the annihilate among the impediment except for all the others?
 
We have heard that some for sometime, there is no peace without justice, there will NEVER be peace when a few tANZANIANS benefit from our wealth while the majority live in poverty. You sound like that small group of tANZANIANS, for us the poor we have nothin to loose!

In which country of 40m population where they are all rich or just the majority?
 
mm ningewataka wenye busara wawashauri hao wenzao kujua thamani ya amani.

kuchochea kuvunjika si gharama kubwa kuliko kuirejesha

watanzania tulipende taifa letu kwana na watu wake, ndio tutangulize maslahi yetu binafsi
 
mm ningewataka wenye busara wawashauri hao wenzao kujua thamani ya amani.

kuchochea kuvunjika si gharama kubwa kuliko kuirejesha

watanzania tulipende taifa letu kwana na watu wake, ndio tutangulize maslahi yetu binafsi
Amani bila haki haiwezi kudumu. Haki ndio msingi pekee wa amani.
 
Guys, we have already banned a number of members for using insults and cuss words here and we will not hesitate to do so again. Please refrain from using obsenities at all cost. Otherwise, just read and move on; you don't have to say anything if what you have to say is graphically obscene.

For Admns
 
i do not believe if Tanzania have such mental thinking. The Global of bussines is looking Tanzania as people of same thinking. Chadema now is a problem to the country. They are not a political party but a gang. Poor Tanzania i wish Gadafi could be in the country. Gang party chadema. Is a doomed party for the peace of the country.

:smow::smow:...continue "wishing" and "day dreaming"....just wish, wish and wish! Its no doubt that you have run out of thoughts":smow::smow:
 
simple language makes you be understood. Difficult language make you not to be understood. Why does Chadema funs use insults. Do they have more body energy than reasoning capacity. When an english post is online they tend to shift it to swahili. Chadema started their move very well but now they are getting lost with proud.
 
jamani nadhani huyu jamaa hajui kuwa chdema ni mkombozi wa wa Tanzania ya leo ,kwani kuwaelimisha wananchi kujua haki zao na kuzipigania ni huduma ya kiroho sasa wewe unaesema cdm ni hope less unamtukana MUNGU
 
simple language makes you be understood. Difficult language make you not to be understood. Why does Chadema funs use insults. Do they have more body energy than reasoning capacity. When an english post is online they tend to shift it to swahili. Chadema started their move very well but now they are getting lost with proud.


Katafute forum ya lugha inayokufaa. Ondoka salama. You are good pretender
 
Back
Top Bottom