CHADEMA hopeless

CHADEMA hopeless

Viashiria vinaonyesha CDM itapigwa chini kama uchaguzi utaitishwa jioni hii KWA VILE CDM mnalingia wafuasi ambO HAWANA MVUTO katika jamii haswa wakwepa kodi.

MTZ mwenye akili timamu CDM ni chama cha wabangaizaji wachache walioweka nafsi mbele. Wewe ni mmoja wapo kwa vile upo mbele kushupalia UFISADI unaofanywa na viongozi wa juu wa CDM ambao pia wapo katika payroll ya RACHEL pamoja na gazeti lenu mlitalo TUKUFU la TANZANIA DAIMA.

Poleni, CCM itawageuza kila wakati wa uchaguzi, mtaishia katika maandamano HADI MIGUU ITAINGIA NDANI
 
wajawazito MBEYA ..KARIBIA WATAJIFUNGUA BILA KUPEWA BAJAJ ALIZOWAAHIDI...! :biggrin1::biggrin1:
 
Watanzania habarini! nchi inapita katika kipindi kibaya kwa vile kuna baadhi ya wananchi wanatumia vibaya uhuru wa nchi na demokrasia. KILA siku wanataka shwari, wao amani ni kikwazo kwao kukaribia jumba la magogoni. Mwaka jana walichukua fomu na kujaribu kulifikia JUMBA la Magogoni, hata hivyo watanzania wakawaacha kwenye mataa kwa vile sera zao za PANGU PAKAVU zikakataliwa na watz.
Wakaona maamuzi ya wananchi ni mabaya hivyo;-

1. Wakasusia hafla ya kutangazwa matokeo ya URAIS
2. Wakasusia sherehe za kuapishwa Rais na TV wakazima
3. Wakawahi Dodoma kupokea posho za Ubunge
4. Wakasusia hotuba ya ufunguzi wa Bunge iliyofanywa na RAIS
5. Wakavunja umoja na vyama vingine vya upinzani BUNGENI
6. Wakavuruga zoezi la uchaguzi wa Meya wa Jiji la Arusha
7. Wakazindua zoezi la maandamano endelevu nchini ANGENDA KUU IKIWA NI UFISADI NA KATIBA MPYA.
8. Wakatangaza wataendeleza maandamanoi nchini pamoja na Serikali ya CCM imekubali kuwepo na mjadala wa KATIBA na KUPIGA VITA UFISADI NDANI YA CCM NA SERIKALI.
9. Wakadandia MISIBA ILIYOTOKEA NYAMONGO.

HIZO NI VIASHIRIA VICHACHE JUU YA UENDESHAJE WA CHAMA FULANI CHA SIASA AMBACHO KINATAKA KUISHI KATIKA JUMBA LA MAGOGONI PASIPO KUTUMIA SANDUKU LA DEMOKRASIA.

TAFADHALI WATZ TUENDESHE MAOMBI KWA CHAMA HIKI KISICHO NA MTAZAMO WA UTAIFA NA TANZANIA KWANZA ILI WAONDOKANE NA STYLE YS SIASA WANAYOITUMIA KWANI INA MADHARA MAKUBWA KWA WANANCHI.

SINA HAJA YA KUTAJA CHAMA HUSIKA KWA VILE WANA JF WOTE WANAKIJUA CHAMA KINACHOENDA NJE YA MSTARI NA KOTOJALI MAMLAKA YA DOLA ILIYOPEWA RIDHAA NA WANANCHI.

Mkuu Mafilili mpenda amani tunashukuru kwa ujumbe wako Watanzania wenye uchungu na nchi yao wamekuelewa
 
No one has asked you to join CDM. You are vehently denying our rights (we are many Tanzanians) to believe in Chadema. If you do not want to be brainwashed it is because you are already brainwashed by ---------. Remember you are a no body to dictate to anybody because I am Tanzanian who believe in the course of CDM. I will do all I can to fight for rights stolen by this CCM Gang may be you are one of them; the PEOPLE WILL DECIDE may be in favour of your line of thinking.

No one will ever convince me to join cdm even if you hold a double barrel "canonized" gun on my head. No one has ever denied you your rights in Tanzania, that is what we call a white lie. In the past six Years Kikwete has given you more than what you deserve. Could you have practiced your "mind" less type of cheap politics before Kikwete's term? Never. The peoples have decide just last October, that cdm is not yet fit to rule. Losing the Internationally observed elections just few months back is the major reason of this cheap politics which does nothing other than proving that you are all zombies who blindly follow the commands of a master who has even failed to lead his congregation and the other an alter boy at the discotheque.
 
Maandamano si njia ya kudai haki -Kulola :mod::mod:

Tuesday, 24 May 2011 20:06 newsroom


NA MARIA AROPE, DODOMA

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la EAGT, Moses Kulola, amesema maandamano si njia muafaka ya kudai haki, badala yake mazungumzo yatumike.

Kulola pia amewashukia watu wanaombeza Rais Jakaya Kikwete, akisema wana ajenda binafsi, hivyo Watanzania hawana budi kufanya maombi ya kumuombea na wasikubali kurubuniwa na wachache.

Askofu Kulola alitoa kauli hiyo juzi, alipotoa mahubiri kwenye Kanisa la Siloam Ipagala, mjini hapa na kuongeza kuwa, kazi inayofanywa na Rais Kikwete ni ngumu.

Kulola aliwaagiza waumini kuhakikisha wanapinga na kukemea maandamano yanayofanywa na vyama mbalimbali, kwani ni uchochezi na hayana sababu za msingi.

Sioni sababu za watu au vyama kuandamana, badala yake nashauri mazungumzo yatumike kwa wahusika ili kumaliza migogoro kwa amani,” alisema.
ames.jpg

Askofu Kulola alitumia fursa hiyo kuwaasa wanafunzi kukataa kuandamana. Alisema wamepewa dhamana kubwa, na wananchi wanawategemea wawatumikie baada ya kuhitimu masomo.

Kulola alisema maombi yatamuongezea nguvu na ujasiri Rais Kikwete wa kuendelea kuongoza taifa na kufanya mambo makubwa ya maendeleo. “Nawashangaa watu wanaombeza na kumdharau Rais Kikwete, wana ajenda gani au wananufaika vipi, lakini nampongeza kwa uvumilivu na anaendelea kusimama na kuongoza nchi vizuri.

Hivyo hatuna budi kufanya maombi ili kumtia nguvu,” alisema. Alisema Rais Kikwete anaongoza nchi kwa misingi ya haki, bila upendeleo na watu wanaombeza wanapaswa kukoma haraka. “Nawaagiza waumini wote wa kanisa hili, hakikisheni mnawakemea wote wanaomdharau Rais Kikwete kwani hawana nia njema kwa taifa,” alisema.

Kuhusu utabiri wa mwisho wa dunia unaotolewa na baadhi ya watabiri, Askofu Kulola alisema jamii iwaepuke kwani ni uongo. Alisema watabiri hao wanakinzana na neno la Mungu, kwani hakuna mwanadamu anayejua siku wala saa.

Last Updated ( Tuesday, 24 May 2011 20:31 )

Source: Gazeti la Uhuru
 
No one will ever convince me to join cdm even if you hold a double barrel "canonized" gun on my head. No one has ever denied you your rights in Tanzania, that what we call a white lie. In the past six Years Kikwete has given you more than what you deserve. Could you have practiced your "mind" less type of cheap politics before Kikwete's term? Never. The peoples have decide just last October, that cdm is not yet fit to rule. Losing the Internationally observed elections just few months back is the major reason of this cheap politics which does nothing other than proving that you are all zombies who blindly follow the commands of a master who has even failed to lead his congregation and the other an alter boy at the discotheque.

images
 
ahadi zipi za 2005 au 2010, maana hata zile alizoahidi 2005 na chadema wakatulia hajazitekeleza, hakuna sababu ya kumuacha tena, ameshindwa kazi period!!!!
 
Mzee acha kuendekeza urafiki wa kinafiki kusaliti Watanzania wazulumiwa eti kwa sababu tu mlihudhuria darasa la uchumi pamoja na Kikwete.

Kwa ufisadi wote huu, naona maandano kama vile haijatosha hata kwa robo.

Maandamano si njia ya kudai haki -Kulola :mod::mod:

Tuesday, 24 May 2011 20:06 newsroom


NA MARIA AROPE, DODOMA
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la EAGT, Moses Kulola, amesema maandamano si njia muafaka ya kudai haki, badala yake mazungumzo yatumike.Kulola pia amewashukia watu wanaombeza Rais Jakaya Kikwete, akisema wana ajenda binafsi, hivyo Watanzania hawana budi kufanya maombi ya kumuombea na wasikubali kurubuniwa na wachache. Askofu Kulola alitoa kauli hiyo juzi, alipotoa mahubiri kwenye Kanisa la Siloam Ipagala, mjini hapa na kuongeza kuwa, kazi inayofanywa na Rais Kikwete ni ngumu. ulola aliwaagiza waumini kuhakikisha wanapinga na kukemea maandamano yanayofanywa na vyama mbalimbali, kwani ni uchochezi na hayana sababu za msingi. Sioni sababu za watu au vyama kuandamana, badala yake nashauri mazungumzo yatumike kwa wahusika ili kumaliza migogoro kwa amani,” alisema.
ames.jpg

Askofu Kulola alitumia fursa hiyo kuwaasa wanafunzi kukataa kuandamana. Alisema wamepewa dhamana kubwa, na wananchi wanawategemea wawatumikie baada ya kuhitimu masomo. Kulola alisema maombi yatamuongezea nguvu na ujasiri Rais Kikwete wa kuendelea kuongoza taifa na kufanya mambo makubwa ya maendeleo. “Nawashangaa watu wanaombeza na kumdharau Rais Kikwete, wana ajenga gani au wananufaika vipi, lakini nampongeza kwa uvumilivu na anaendelea kusimama na kuongoza nchi vizuri, hivyo hatuna budi kufanya maombi ili kumtia nguvu,” alisema. Alisema Rais Kikwete anaongoza nchi kwa misingi ya haki, bila upendeleo na watu wanaombeza wanapaswa kukoma haraka. “Nawaagiza waumini wote wa kanisa hili, hakikisheni mnawakemea wote wanaomdharau Rais Kikwete kwani hawana nia njema kwa taifa,” alisema. Kuhusu utabiri wa mwisho wa dunia unaotolewa na baadhi ya watabiri, Askofu Kulola alisema jamii iwaepuke kwani ni uongo. Alisema watabiri hao wanakinzana na neno la Mungu, kwani hakuna mwanadamu anayejua siku wala saa.

Last Updated ( Tuesday, 24 May 2011 20:31 )

Source: Gazeti la Uhuru
 
Matumizi ya lugha ya kiingereza yana watu wao.post yako haina muunganiko wa lugha na unacho kizungumza.Au kwa sababu Magamba yanakuwasha wewe.
 
i do not believe if Tanzania have such mental thinking. The Global of bussines is looking Tanzania as people of same thinking. Chadema now is a problem to the country. They are not a political party but a gang. Poor Tanzania i wish Gadafi could be in the country. Gang party chadema. Is a doomed party for the peace of the country.

ndugu andika tu lugha unayoijua tutasaidia kutafsiri ila si kurundika maneno ya lugha na upumbavu wako. Kama umepewa homework huku english medium si mpaka ujaribu jaribu jamvini. Ivi unaweza ukaelewa ulikuwa unasema nini kwa sentesi yako ya kwanza? Eti 'i dont believe if Tanzania have such mental thinking" Tanzania ni country sasa ungesema Tanzania Has,sio have. Au kama ungetaka pia ungesema Tanzanians have! Sawa mental retarded man? Pia ukisema mental thinking,ujaleta maana uliyokusudia unadhani umeongea nini sasa? Unaendelea eti 'the global of business' ndo lugha gani? Au ndo globe of business au una maana ya global business? Nyosha sarufi pumbafu! Au unaongelea globe of business unaweka cdm ambayo ni political party,unamalizia na hopeless,pumbafu! Alaf eti '...is looking Tanzania as people of..." je siku izi Tanzania imekuwa people au una maana Tanzanians? We dogo vp? Unaendelea...they are not a political party' iyo phrase ni wingi au umoja? Ujinga ujinga umaskini,maradhi,ujinga ,umaskini na maradhi ndo urithi wako kwa kizazi iki. Acha kukejeli cdm iliyoseheni wasomi ukatetea wabunge wa chama cha majambaz ambao ni vihio kama wewe! Jifunze uhudumie,elimu kwanza!
 
Wanajamii


CDM muacheni J.K atekeleze ahadi alizoahidi kwa wananchi. Tokea kipindi cha kamapeini mwaka jana (2010) hadi sasa mmemkaba koo. Atatekelezaje ahadi zake? Muoneeni huruma mtoto wa mzazi mwenzenu....


=CDM mmesababisha Rais hadi anasahau baadhi ya mambo muhimu kama vile kuwateua wakuu wa wilaya na mikoa ambao ni wasimamiaji wakuu wa ahadi hizo.

=CDM mmeifanya serikali ya J.K kuchanganyikiwa na kuanza mambo ya ajabu ajabu. Tazama, eti polisi wamegeuka wanga hadi wanaiba maiti usiku wa manane....


Please, makamanda wote wa CDM muoneeni huruma Rais wetu!


Seriously, mnawanyima usingizi mama na baba wa kaya hadi wameanza kukonda.......Juzi nilimuona live Mama wa kaya hadi anatia huruma...kakonda kweli kweli.
Ahadi zinatekelezwa vizuri tu...
Aliahidi Bajaj za kubebea wamama wajawazito zimeletwa.....
Aliahidi kuua wale watakaohoji namna anavyofisidi nchi na ametekeleza Arusha Jan 5 na juzi Tarime....
Aliahidi kuwalinda mafisadi na hadi leo magamba hawajapewa barua na wasaliti wamepewa vyeo...
With time na kilaza huyu tutegemee mengi zaidi.
 
Maandamano si njia ya kudai haki -Kulola :mod::mod:

Tuesday, 24 May 2011 20:06 newsroom


NA MARIA AROPE, DODOMA

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la EAGT, Moses Kulola, amesema maandamano si njia muafaka ya kudai haki, badala yake mazungumzo yatumike.

Kulola pia amewashukia watu wanaombeza Rais Jakaya Kikwete, akisema wana ajenda binafsi, hivyo Watanzania hawana budi kufanya maombi ya kumuombea na wasikubali kurubuniwa na wachache.

Askofu Kulola alitoa kauli hiyo juzi, alipotoa mahubiri kwenye Kanisa la Siloam Ipagala, mjini hapa na kuongeza kuwa, kazi inayofanywa na Rais Kikwete ni ngumu.

Kulola aliwaagiza waumini kuhakikisha wanapinga na kukemea maandamano yanayofanywa na vyama mbalimbali, kwani ni uchochezi na hayana sababu za msingi.

Sioni sababu za watu au vyama kuandamana, badala yake nashauri mazungumzo yatumike kwa wahusika ili kumaliza migogoro kwa amani," alisema.
ames.jpg

Askofu Kulola alitumia fursa hiyo kuwaasa wanafunzi kukataa kuandamana. Alisema wamepewa dhamana kubwa, na wananchi wanawategemea wawatumikie baada ya kuhitimu masomo.

Kulola alisema maombi yatamuongezea nguvu na ujasiri Rais Kikwete wa kuendelea kuongoza taifa na kufanya mambo makubwa ya maendeleo. "Nawashangaa watu wanaombeza na kumdharau Rais Kikwete, wana ajenda gani au wananufaika vipi, lakini nampongeza kwa uvumilivu na anaendelea kusimama na kuongoza nchi vizuri.

Hivyo hatuna budi kufanya maombi ili kumtia nguvu," alisema. Alisema Rais Kikwete anaongoza nchi kwa misingi ya haki, bila upendeleo na watu wanaombeza wanapaswa kukoma haraka. "Nawaagiza waumini wote wa kanisa hili, hakikisheni mnawakemea wote wanaomdharau Rais Kikwete kwani hawana nia njema kwa taifa," alisema.

Kuhusu utabiri wa mwisho wa dunia unaotolewa na baadhi ya watabiri, Askofu Kulola alisema jamii iwaepuke kwani ni uongo. Alisema watabiri hao wanakinzana na neno la Mungu, kwani hakuna mwanadamu anayejua siku wala saa.

Last Updated ( Tuesday, 24 May 2011 20:31 )

Source: Gazeti la Uhuru

Wewe Askofu, Kauli yako si sahihi na unahitaji kufikiria kabla hujafungua mdomo. Utatoa majibu gani kwa Martin Luther King Jr., Al Sharpton, Macolm X, ANC-Mandela, Uprising in Egypt, Tea Party Movement, and so on?
Maandamano ya amani ni moja ya njia za kudai haki kwa wanaoona wanaonewa.
 
nyerere alisema m2 akiongea kingereza huwa anaonekana ameongea point hata kama ni pumba, lakini wewe kwa hili umeandika upumbavu ambao hata mtoto anauona badilika tua mzigo wa ujinga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu mzee nae kaishiwa, anajiingiza kwenye kundi la mavuvuzela ya mafisadi
 
The issue is, who else if not a comatose accepts willingly to follow a leader as such? Zhu was so polite to say cdm "Mind is asleep." I say, the followers are comatose! reasons are obvious.

Sadly he can marry only once......Despite your ''love'' for him
 
Kulola is full of hot air! Tunisia, Misri wamedai haki kivipi? This retarded grandad anapata wapi ujasiri wa haki wakati kuna maiti zimetupwa barabarani Tarime? He may be taking himself too seriously ...Kulola you are full of hot air!
 
i do not believe if Tanzania have such mental thinking. The Global of bussines is looking Tanzania as people of same thinking. Chadema now is a problem to the country. They are not a political party but a gang. Poor Tanzania i wish Gadafi could be in the country. Gang party chadema. Is a doomed party for the peace of the country.

Jamani wana JF lazima tuwe makini wakati wa kuchangia mada. Kuna watu tunatakiwa tuzungumze nao kama watoto wachanga maana hawajitambui. Tupate muda wa kuwaelimisha, kuwafunda mpaka wajue maana. na si kazi ndogo wala jambo la mzaha la kurushiana tu madongo hapa JF. hawa tunalumbana nao kimzaha mzaha hivi lakini ndo wanalipeleka taifa kubaya hiyo. na ndio wanaopewa TShirt wanachagua mtu wanampa madaraka miaka mitano bila kujua athari zake. Sasa kama huyu ndugu anakuwa kama vile haelewi kinachoendelea TZ na ulimwenguni?? sasa ukilumbana naye zaidi unazidi kumpotosha bora kutafuta namna ya kuelimisha watu kama hawa. wajitambue kwanza na watambue haki zao na wajibu wa serikali yao kwao. si kushabikia tu mambo hata kama yanawaumiza.
Hivi unajuwa kuna mtanzania akisalimiwa kwa kushikwa mkono na waziri atasimulia miaka mitatu hata ukimuuliza kapata faida gani hajui ila ushabiki tu wa kushabikia viongozi. lakini si kosa lake ni udogo wa mawazo yake. mtu kama huyo si wa kumpeleka kwa spidi kama tunayokwenda nayo, maana hawezi kuambulia kitu. ni kuanza kumuelimisha kwanza taratibu ajijue kuwa yeye ni nani na ana haki zipi.
Lakini bado nalaumu mfumo wa elimu tulio nao maana ndio unasababisha wengi wanakuwa hivi, kama hakuna jitihada za ziada za mzazi au mtoto mwenyewe lazima wanaishia kama huyu kijana. Mfano mtu anasoma shule ya msingi kijijini kwao walimu wawili vitabu vitano watoto 200, anaendelea sekondari ya kata yenye walimu watatu wanafunzi 500. halafu baada ya hapo anaenda english Course. Unafikiri huyo mtu uwezo wake wa kuelewa ukoje??

Ndio maana nasema ni wa kusaidiwa.
 
Angeacha tu kuzungumza kama hana la kuhubiri, atajivunjia heshima kubwa mbele ya wananchi, kama dini imemshinda bora astaafu kwa amani, asizidi kutupa machungu." CCM ni janga la kitaifa".
 
Kulola ni mpuuzi kama wapuuzi wengine huku nje . Hana ajualo yeye ale sadaka za wajinga na kujifanya kujua zaidi . Anakula na kulala vyema na familia yake lakini hajui habari za Nyamongo na kwingineko mpuuzi huyu
 
Back
Top Bottom