Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,386
Katiba iliyopo inaeleweka kwa wananchi? Katiba ya chama chako si ndiyo hiyo mkiti wako ameichakachua aendelee kuongoza milele na milele, umeshawahi kulalamika humu jinsi katiba yako ilivyochakachuliwa?
Ww ni bendera fuata upepo ila huna lolote ujualo. Ni kipi kinachoeleweka na wananchi wote ndio kibadilishwe? Kila siku mitaala ya elimu huwa inabadilishwa na kikundi cha watu wachache, je huwa wananchi wote wanaelewa kwanini mitaala inafanyiwa mabadiliko? Mimi sio muumini wa kiongozi kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, na post zangu kibao zimo humu ndani nikipinga hilo. Mimi sio bendera fuata upepo kama ww tafadhali.