Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,597
Wengi walikuwa wanadai katiba ili wapewe uhuru wa kuichamba serikaliKatiba ni yetu sisi wananchi.
Hatutaki kibambikiziwa kesi, hatutaki dhuluma, hatutaki kubebeshwa mizigo ya kodi ya wengine, tunataka sepatation of power ya mhimili, tunataka usawa, uwajibikaji, mawazo yetu kusikilizwa nk.
Vipi mtu asiyatake hayo? Labda tu haelewi au ni mnufaika wa katiba fyongo iliyopo.