hivi yupo hai huyo jamaa?au ndio kaolewa na mtesi wake...si mara ya kwanza tz kusikia talibani style eti binti kapenda dini ya mtesi /mtekaji wake na yupo tayari kuolewa na huyohuyo mbakaji pia.
Huyu Kibanda si ndiye ambaye Gazeti lake la Mtanzania juzi liliandika habari kubwa ya uongo "UKAWA washindwa kuafikiana, NCCR waomba kujitoa UKAWA"? Team-Lowassa bhana!!!!!
Kibanda mbona siku zote hukuyasema haya? Kumbe mlitofautiana na Katibu Mkuu wa Chadema kwenye kikao cha kilevi kilichoitishwa nyumbani kwa Mwenyekiti!! Mtafute Khalid Kagenzi mtafakari kwa pamoja!!!
Mwenzio katofautiana na katibu mkuu korodani hazifanyi kazi, msimulie na yaliyokukuta
Kumbe Kibanda ni mwana Supreme Leader(SL) ooh !sorry Kibanda ni mwana ACT...ukiangalia video vizuri pale mbele yake kaweka makablasha ya ACT na pembeni yake kuna mwana SL mwingine, Mkumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.