CHADEMA, haya anayoyasema Kibanda ni ya kweli?

CHADEMA, haya anayoyasema Kibanda ni ya kweli?

Kibanda kama siokosei aliwahi kuwa mhariri wa gazeti la tanzania daima, atakuwa nayo mambo mengi sana moyoni, mwacheni aendelee kufunguka tutasikia mengi
 

Attachments

  • 1430491238705.jpg
    1430491238705.jpg
    3.3 KB · Views: 689
Last edited by a moderator:
Waganga Njaa wote; Wapo hapo Kufifisha Juhudi za Kulikomboa taifa hili toka Mikononi Mwa Mkoloni Mweusi CCM.
 
Huyo ndio Kibanda??

Kweli ndoa ya ACT na CCM imekolea
 
Hivi kumbe huyu ki ni mpuuzi kiasi hiki?
Afu ni mtu sikuwahi kudhan angeongea utoto hivi
 
Kibanda anataka kupoteza sifa nzuri aliyokuwa nayo.Tuhuma nyepesi nyepesi kama hizi hazisaidii.Inaonekana ni mfuasi wa Zito.
 
hivi yupo hai huyo jamaa?au ndio kaolewa na mtesi wake...si mara ya kwanza tz kusikia talibani style eti binti kapenda dini ya mtesi /mtekaji wake na yupo tayari kuolewa na huyohuyo mbakaji pia.

bro hapa ngoja nifungue dictionary zangu....
 
Back
Top Bottom