CHADEMA, haya anayoyasema Kibanda ni ya kweli?

CHADEMA, haya anayoyasema Kibanda ni ya kweli?

Anasema walikutana nyumbani kwa mwenyekiti wa CHADEMA wakafanya mkutano wa kilevi. Hapo mbona anaongea kilevi? Pombe za bure Bwana!

Kwa ku-Conclude na kwakuwa na yeye alikuwa MLEVI akajumuika na walevi akatoa point za KILEVI na ndiyo maana ameongea kilevi kwa sababu ni MLEVI..........
 
Kibanda kawatoa nishai na mikutano yenu ya kilevi.

Na kwa kuwa alijumuika kwenye mikutano hiyo ya KILEVI pasi shaka hakuwa tofauti na walevi aliojumuika nao.Hivyo yeye ni MLEVI mara mbili zaidi...........

Hawa ndiyo wale waandishi wasiojua kwanini wao ni WAANDISHI............
 
Kibanda kama siokosei aliwahi kuwa mhariri wa gazeti la tanzania daima, atakuwa nayo mambo mengi sana moyoni, mwacheni aendelee kufunguka tutasikia mengi

Kuwa mhariri wa Tanzania Daima hakumpi nafasi yoyote ya kujua mambo ya Chama.Sidhani kama Mhariri wa Gazeti la UHURU anajua vitu vya ndani au maamuzi ya CCM...........Hivyo statement yako haina ukweli ndani yake................
 
Kuwa mhariri wa Tanzania Daima hakumpi nafasi yoyote ya kujua mambo ya Chama.Sidhani kama Mhariri wa Gazeti la UHURU anajua vitu vya ndani au maamuzi ya CCM...........Hivyo statement yako haina ukweli ndani yake................

Inavyoonekana hujui kusudi na kazi za haya magazeti ya uhuru na tanzania daima haya ni magazeti ya chama kwa ajiri ya kujitangaza, wakati mwingine mhariri anahitaji kupata baraka za wamiliki kuhusu kile anachotakiwa kuandika.
Kama huamini umewahi kuona tanzani daima wanaikosoa chadema? Au uhuru wakiinanga ccm?
Tambua upo uhusiano kati ya wahariri na viongozi wa hizo taasisi.
 
Inavyoonekana hujui kusudi na kazi za haya magazeti ya uhuru na tanzania daima haya ni magazeti ya chama kwa ajiri ya kujitangaza, wakati mwingine mhariri anahitaji kupata baraka za wamiliki kuhusu kile anachotakiwa kuandika.
Kama huamini umewahi kuona tanzani daima wanaikosoa chadema? Au uhuru wakiinanga ccm?
Tambua upo uhusiano kati ya wahariri na viongozi wa hizo taasisi.

SIjakataa kuhusu kukitangaza chama husikalakini si kujua vitu vya ndani vya chama hicho ninakukatalia.Unaweza ukafanya kazi kwenye ofisi na usijue kinachoendelea kwenye menejimenti

Usijidanganye,siyo kila asemacho Kibanda ni sahihi eti sababu tu alikuwa Mhariri wa Tanzania Daima.Wengi wa waandishi wetu wananunuliwa kirahisi sana,na wako tayari hata kuua mtu kwa kumsingizia jambo kubwa bila ukweli ndani yake,ilimradi apate chochote...........
 
SIjakataa kuhusu kukitangaza chama husikalakini si kujua vitu vya ndani vya chama hicho ninakukatalia.Unaweza ukafanya kazi kwenye ofisi na usijue kinachoendelea kwenye menejimenti

Usijidanganye,siyo kila asemacho Kibanda ni sahihi eti sababu tu alikuwa Mhariri wa Tanzania Daima.Wengi wa waandishi wetu wananunuliwa kirahisi sana,na wako tayari hata kuua mtu kwa kumsingizia jambo kubwa bila ukweli ndani yake,ilimradi apate chochote...........

Naona hatutofautiani sana,
nafikiri tumwache aendelee kufunguka.
Kuhusu uhalali anachozungumza itategemea ataendelea kutuambia nini ili tuweze kuunganisha doti na kuubaini ukweli
Si vizuri kumwita kanunuliwa au kukubali asilimia zote kwamba anachozungumza ni kweli
Jipe mda utabaini ukweli.
 
Naona hatutofautiani sana,
nafikiri tumwache aendelee kufunguka.
Kuhusu uhalali anachozungumza itategemea ataendelea kutuambia nini ili tuweze kuunganisha doti na kuubaini ukweli
Si vizuri kumwita kanunuliwa au kukubali asilimia zote kwamba anachozungumza ni kweli
Jipe mda utabaini ukweli.

Sijaona UKWELI wowote hapo zaidi ya zile pachanga za wajinga wachache kudhoofisha upinzani.Hakuna kitu kibaya kama UNAFIKI,mnafiki ni mbaya kuliko mchawina huyo Kibada hana tofauti na MCHAWI....Alipovamiwa hakusema nani alimdhuru,leo anajidai kuita wanahabari na akimaKitila Mkumbo kuzungumzia habari za CDM.

Kama hakuwa Mlevi kwanini aende kwenye hafla ya walevi?Ndiyo maana nasema ni ujinga tu anaozunguzmza.Mtu mzima mwenye akili timamu hawezi akawaita watu halafu akawapa kilevi,na kwanini asiseme wakati ule?Je alikuwa mhariri au muandishi peke yake kwenye hiyo hafla?Kwanini wasiseme kilichoongelewa?

Kaka Kibanda hana mpya zaidi ya kudhoofisha upinzani,hana cha maana sababu anamtumikia ------ apate kula yake....Kaka achana na pesa,zilimuua Yesu..............
 
Kama huo mkutano ulikuwa wa kilevi nyumbani kwa mwenyekiti,
naye kibanda akahudhuria hadi kutofautiana na katibu mkuu
wala asiseme kabla ya kutimuliwa cdm, huenda alilewa kuliko wote waliohudhuria.
vinginevyo huo ni unafiki ktk ubora wake.
 
Huyu alishafanya Tanzania Taima alafu akaondoka. Napata wasiwasi na ukweli wa anachokiongea ukizingatia walio kaa jirani yake ni watu flani. Mimi ni ACT lakini.
 
Kumbe ndio maana?maamuzi na vikao vyao hawa jamaa wapinzani ni yakipombepombe?
 
ulitegemea aisifie cdm wkt kazungukwa na ACT...n sawa na kuisifia NATO ukiwa ISIS...utaiponda tu ilhali unajua NATO n wanaume zaid yenu
 
Back
Top Bottom