Labda kabla hatujaomba msamaha. Unajua kila kitu hata imani ina maana yake, mfano msabato anaamini kutokunywa chai, kwasababu chai ina nucotin nyingi inayoweza kuleta madhara katika mwili wa binadam, Marasta Farian hawali nyama kwa imani kwamba wanafanya kosa kupoteza uhai wa mnyama ambae ana roho kama binadam, Sasa nawewe utwambie kwanini ulitaka azikwe haraka hivyo? ili kama utakua na mantic basi tutafanya kama unavyotaka.