Chadema hawajakiuka maadili?

Labda kabla hatujaomba msamaha. Unajua kila kitu hata imani ina maana yake, mfano msabato anaamini kutokunywa chai, kwasababu chai ina nucotin nyingi inayoweza kuleta madhara katika mwili wa binadam, Marasta Farian hawali nyama kwa imani kwamba wanafanya kosa kupoteza uhai wa mnyama ambae ana roho kama binadam, Sasa nawewe utwambie kwanini ulitaka azikwe haraka hivyo? ili kama utakua na mantic basi tutafanya kama unavyotaka.
 
Kwa hili sina uhakika, ila ninaamini viongozi walikuwa na mawasiliano ya karibu na ndugu wa wafiwa, na ndugu hawa waliridhia marehemu waagwe pamoja kwenye halaiki

Sidhani kama katika kusign kutoa mwili ndugu wa familia hakuhusiswhwa,

Vilevile kuna waislamu na wakristo wanaofariki na kuzikwa kwao kunagubikwa na mizozo ya mahakamani pande mbili zikigombea kuzika, kisha akishinda muislam au mkristo ndipo marehemu anazikwa kwa taratibu za dini ambayo imeshinda kesi, nimeshuhudia maiti zikiwa mortuary zaidi ya wiki2 kesi ikinguruma kisha kuzikwa kiislamu,

Vilevile mazingira ya vifo vya ndugu hawa yaligubikwa na utata fulani, nahisi ndio sababu ya ucheleweshwaji

Uwe na amani ndugu, kama CDM wamekosea ni sahihi kukiri udhaifu ila sio intentional

ok, hiyo ni kesi maalum ambayo tofauti na hii ambapo pana mzozo wa kisheria, hii ni sawa za mwembechai, pemba cuf na maandamano ya waislam Unguja 1983 ambapo siku ya pili maiti alizikwa kwani polisi wanajua maiti ya imani ya kiislam
 
ok, hiyo ni kesi maalum ambayo tofauti na hii ambapo pana mzozo wa kisheria, hii ni sawa za mwembechai, pemba cuf na maandamano ya waislam Unguja 1983 ambapo siku ya pili maiti alizikwa kwani polisi wanajua maiti ya imani ya kiislam

Huu ni mwaka wa Kiislamu! Unaweza andika ni mwaka gani kwenye Kalenda ya leo?
 
Labda kabla hatujaomba msamaha. Unajua kila kitu hata imani ina maana yake, mfano msabato anaamini kutokunywa chai, kwasababu chai ina nucotin nyingi inayoweza kuleta madhara katika mwili wa binadam, Marasta Farian hawali nyama kwa imani kwamba wanafanya kosa kupoteza uhai wa mnyama ambae ana roho kama binadam, Sasa nawewe utwambie kwanini ulitaka azikwe haraka hivyo? ili kama utakua na mantic basi tutafanya kama unavyotaka.
imani yake ndivyo inavyotaka. ndio maana hakuna hata kiongozi mmoja duniani mkuu wa kiislam aliewahi kufika 8 days. juu ya watu kumpenda lkn linapokuja swala la maiti imani mwanzo halafu siasa.
 
Kwanza unajua mwili wa Marehemu ulikabidhiwa lini kwa wahusika? waliokufa walikuwa na risasi mwilini, Si ilibidi wachakachue ili waondoe risasi? Waulize Polisi ni kwa nini walichelewesha mwili.
 
Maadili ya nani? Nafikiri huelewi hata maana ya maadili...simply poi ting finger to CDM doesnt really help anyone even yourself maana people know how to distinguish the right from the wrong. hata argument yako is contradictory, why not read again esp bold red...wewe ni kichekesho maana kama hoja zako ni za aina hii na pia lugha ndio kama ilivyo hapo juu, I am sure no one will ever take you seriously, on the contrary, utakuwa unajitapakazia shame

Asante seniorita kwa kumpasha huyu mpuuzi. Huyu na wajinga/wapuuzi wenzake huongozwa tu na imani ya kuambulia cha kujaza matumbo yao. Ndo maana hata kuhakiki waandikacho hawakumbuki. Kama adai lililotokea siyo nadra kutokea sasa kinachomshangaza ni kipi?
Tuendelee kushukuru mashujaa wetu tumewaenzi na Mungu awarehemu.
 
Kwanza unajua mwili wa Marehemu ulikabidhiwa lini kwa wahusika? waliokufa walikuwa na risasi mwilini, Si ilibidi wachakachue ili waondoe risasi? Waulize Polisi ni kwa nini walichelewesha mwili.

inawezekana. lkn Chadema walipanga mapema mazishi leo ya kitaifa, kwa hivyo tunaamini kwamba huo ulikuwa ni mpango wa chadema na sio polisi. polisi ktk mtazamo wa kawaida matukio kama haya huwa wanafanya uchunguzi haraka kama vile mwembechai na pemba
 
Asante seniorita kwa kumpasha huyu mpuuzi. Huyu na wajinga/wapuuzi wenzake huongozwa tu na imani ya kuambulia cha kujaza matumbo yao. Ndo maana hata kuhakiki waandikacho hawakumbuki. Kama adai lililotokea siyo nadra kutokea sasa kinachomshangaza ni kipi?
Tuendelee kushukuru mashujaa wetu tumewaenzi na Mungu awarehemu.

usije na jazba mzee/kijana leo ukiona dk kiongozi mkuu wa chadema mkiristo anaswaliwa msikitini utahoji na utashangaa sana. kwanini tusishangae Chadema kuweka mwili wa marehemu masiku kinyume na utaratibu halafu mkipewa hoja mnakuja juu. jee chadema ni malaika au manabiii?
 
Jibu kwa Muhogomchungu;

Biography ya Rais wa Pili wa Misri ya kale ya mafirauni Gamal Abdel Nasser inasema hivi;

Kufa September 28,1970

Kuzikwa November 1,1970

Muhogomchungu;

Mwili wa Rais Gamal Abdel Nasser wa Misri ulikaa zaidi ya siku 3 ukisubiri taratibu za kisiasa na zinginezo zimalizike hasa kuandaa mapokezi ya watu watakaojitokeza kwenye shughuli hiyo!

Kama ndugu wa marehemu watahisi kuna watu wengi wanataka kuja kuhudhuria maziko ya mpendwa wao hata waislam wanachelewesha maziko!
 
Jibu kwa Muhogomchungu;

Biography ya Rais wa Pili wa Misri ya kale ya mafirauni Gamal Abdel Nasser inasema hivi;

Kufa September 28,1970

Kuzikwa November 1,1970

naona utafungua historia ya kila Pembe ya Dunia lkn bado hoja ikiwa ngumu kwako. sio kila mwarabu ni muislam. lkn pia tusichukulie mifano ya mbali sana wakati tunazungumzia Tanzania Arusha
 
View attachment 20160
Usiku wa Septemba 25 mfalme Hussein wa Jordan alifariki na 26 akazikwa kwa kuwa muislam.
Pia mauji ya Pemba watu waliofariki walizikwa siku inayofuata kwa kuwa wote waliofariki ni madhehebu ya kiislam.
Unapokuwa karibu na waumini wa kiislam wanakwambia, kitu cha kwanza kufanyiwa baada ya kukamilika taratibu zote ni kupelekwa mahala pake pa milele yaani kaburini, ndio maana hata viongozi wakuu wa madhehebu hayo mara tu akifa hakai siku nyingi huzikwa
Kwa upande wa madhehebu mengine kama baba wa taifa alikaa muda wa 2 week.
Lkn chadema wameuweka mwili wa madhehebu ya kiislam siku 6 sawa na madhehebu mengine jambo ambalo ktk mtazamo wa kiislam sio nadra kutokea labda patokee dharura.
jee chadema hawakukiuka maadili?hawakuona haja ya kuuzika mapema?

Chadema wanamiliki mortuary? Umeulizia taratibu za postmotem zilikuwaje? Lini mtakuwa na hoja za msingi?
 
Chadema wanamiliki mortuary? Umeulizia taratibu za postmotem zilikuwaje? Lini mtakuwa na hoja za msingi?

hatan hii ni hoja ya msingi. hoja ya msingi sio inayoifurahisha chadema. jee utaposikia mh Mboe kasaliwa msikitini wakati ukijua ni mkiristo pia utasema sio hoja ya msingi?
 
Back
Top Bottom