CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

Napendekeza timu mpya iundwe kuongoza chama na kama nia yakweli ya kuleta mabadiliko ipo. wafuatao waondolewe kabisa katika madaraka ya juu:

1.Freeman Mbowe.
2.Dr slaa.
3.Rwakatare.
4.Tundulisu.

Sindano inauma lakini afya bora ni muhimu kuliko maumivu ya muda mfupi, hawa nilazima waondolewe kwakuwa hawa ndio wanaokidumaza chama, chama hiki sio mali yao ila ni mali ya watanzania.

Kwanini Hao waondolewe katika madaraka ya Juu?
1. Mbowe: Hana jambo jipya kwa watanzania, nimtu anaepigania zaidi umaarufu wake na maslahi yake, kuliko maslahi
ya Taifa, na hili lipo wazi hata wanao muunga mkono wanajitahidi tu kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.

Ni vema ukapendekeza na watu watakao chukua nafasi zao kabisa.....how about that
 
Hakuna wa kumuogopa. Bali kwa masilahi ya ujenzi wa demokrasia, si mtu sahihi kwa wakati kwa.sababu hana jipya bali anajifunza uongozi. Si mkweli kinyume na utashi wa wakati huu. Pia ni mpenda sifa na kwa sasa anadhani yeye ni zaidi Chadema kwa sababu tu, kwamba yeye ndiye mbeleko ya matumaini ya wakristo wanaoiunga mkono Chadema kama ilivyotokea 2010. Zaidi ya hilo hana jipya .
Usifikilie kwa kutumia ------ mjusi wewe. Unatuletea issue za udini hapa. N ulaaniwe na Mungu wako unayemwamini. Na inaeelekea wewe unauhusika na wizi wa pembe z ndovu. Watu wanadiscuss Mambo ya maana wewe unaleta udini. Nakuambia nakulaan na utalaanika
 
Katika watu wa hovyo we ni NO. 1,
Check umejiunga tangu OCT 2010 unapost zaidi ya 180 lakini una like 30 tu
HII INAONESHA JINSI GANI ULIVYO WA HOVYO ILA POLE SANA
 
Usifikilie kwa kutumia ------ mjusi wewe. Unatuletea issue za udini hapa. N ulaaniwe na Mungu wako unayemwamini. Na inaeelekea wewe unauhusika na wizi wa pembe z ndovu. Watu wanadiscuss Mambo ya maana wewe unaleta udini. Nakuambia nakulaan na utalaanika

Nikusaidie. Kwanza huna uwezo wa kunilaani. Pili wewe utakuwa ni mfuasi fuata upepo. Tatu nimekutekenya ukatekenyeka. Una laana ya wazazi wako.
 
watanzania kwasasa wapenda mabadiliko kwa kiasi fulani tumeingiwa na wasiwasi kufuatia muenendo wa chama ambacho tumekua tukikitumaini kwa muda sasa kama ndio chama mbadala, Chama cha Democrasia na maendeleo kwasasa kinapitia hali ngumu sana ya mpito siasa za ndani ya chama zikiwa ni mojawapo ya changamoto kali ambazo kama zisipoangaliwa kwaumakini zitapelekea kusambaratika kwa chama na hatimaye kupoteza kabisa matumaini ya watanzania ya maisha Bora na amani.

Mimi Kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashauri Chadema ijitazame upya katika kioo na kubaini wapi ambapo kuna matatizo, na Democrasia ya kweli inapaswa kuchukua mkondo wake, kama ilivyo kwa sura ya Mtu kwamba pasipo kioo mtu hawezi kujua ni wapi palipo na uchafu, chadema hii nafasi ya sasa ni nafasi muhimu sana ya kufanya mabadiliko ya kimfumo na kuondoa aina zote za masalia ndani ya chama na kuukabidhi ''UMMA ukiamulie chama'' Umma ndio unajua unachokitaka kutoka kwa CHADEMA.

Napendekeza timu mpya iundwe kuongoza chama na kama nia yakweli ya kuleta mabadiliko ipo. wafuatao waondolewe kabisa katika madaraka ya juu:

1.Freeman Mbowe.
2.Dr slaa.
3.Rwakatare.
4.Tundulisu.

Sindano inauma lakini afya bora ni muhimu kuliko maumivu ya muda mfupi, hawa nilazima waondolewe kwakuwa hawa ndio wanaokidumaza chama, chama hiki sio mali yao ila ni mali ya watanzania.

Kwanini Hao waondolewe katika madaraka ya Juu?
1. Mbowe: Hana jambo jipya kwa watanzania, nimtu anaepigania zaidi umaarufu wake na maslahi yake, kuliko maslahi
ya Taifa, na hili lipo wazi hata wanao muunga mkono wanajitahidi tu kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.

mwanzo umeandika vizuri lakini mwisho umekosea kuhitimisha!!mbona hujataja weakness za kuwashawishi watu tuamini yanayotokea leo kuna mikono ya slaa,mbowe,lissu(labda hilo la rwaka)!Kama point yako ilikuwa ni kubadili sura za viongozi wot kiujumla ,basi kulikuwa hakuna shaka...kwani hilo ni jambo jema tu,lakini ishu yako ipo so bias,kuna watu umewagusa lakini wengine bado hujawagusa..sasa sisi unataka tukuelewe vipi????
Viongozi bado ni makini sana,bali ccm siasa zao zinaeleweka kwa watu wa jinga()watu ambao wanapenda mipasho),kama unataka tubadili viongozi ni sawa unataka na sisi tuweke viongozi aina ya lameck (nchemba) ili tuweze kutukana vizuri na kuingia kwenye siasa za khadija kopa kama ccm.Sisi kama wanachama hatupo tayari kuwa huko kwenye siasa za taarabu ni bora tuendelee kubaki na viongozi wote ambao tunauhakiaka kutuvusha salama 2015.
 
Dr Slaa ana mke jamani, naona mnajigonga sana kwake, na ataendelea kuwa mwiba kwenu mpaka kieleweke

Dr. Kanjanja si mwiba si chochote. Sana sana mnamtumia kama dodoki. Hana thamani zaidi ya kubeba matumaini ya wakristo ambao imethibitika bila ya shaka kuwa wameingizwa mkenge na wachagga ambao baada ya kubaini kuwa mbeleko ya Chadema haiwezi kuwapeleka kokote ndo maana wakaingiza gia ya udini ambayo inaonekana kufanikiwa.
 
Dr. Kanjanja si mwiba si chochote. Sana sana mnamtumia kama dodoki. Hana thamani zaidi ya kubeba matumaini ya wakristo ambao imethibitika bila ya shaka kuwa wameingizwa mkenge na wachagga ambao baada ya kubaini kuwa mbeleko ya Chadema haiwezi kuwapeleka kokote ndo maana wakaingiza gia ya udini ambayo inaonekana kufanikiwa.
Ndio maana usalama wa taifa wote ni wazee wa vipedo, akitoka magogoni mshikaji wenu tutaona mtakimbilia wapi
 
Toa mapendekezo ya warithi wao kwanza! ...otherwise ngoja tukusaidie kabisa:
1. M/Kiti ............Shibuda
2. Katibu Mkuu.....Zitto
3. N/Katibu..........Mashishanga
..............Hppy now? .....definetly hawa wataweza kupambana na Timu makini ya CCM yenye kuongozwa na:
1. Kikwete
2. Chichidodo
3. Kina naa
4. Nchemba
5. Nape
....Yawezekana kweli mabadiliko hayo yataiwezesha CDM kushinda 2015 kwani hawa jamaa ni wazalendo na wanauwezo wa kununua hisa kwenye kampuni ya kizalendo ya JITEGEMEE Co LTD! otherwise jokes zinaongeza uhai...tuendelee kuchangia
 
maskini migamba imewaziba macho, masikio, pua na akili zao. Tutawafanyia operation 2015. Kwa sasa ngoja mteseke kidogo.
 
Nlidhani kuna hoja ya msingi ktk pendekezo lako lkn nimejikita nakuona u msaliti kwa mabadiliko ya kweli.
Yaani unataka kutuaminishinisha TUHUMA za kina Mwampamba na Shonza? You are not serious at all, I repeat; YOU ARE NOT SERIOUS!

Wote uliowatala wnaipa CCM maumivu ya kichwa. Hawa wanaifanya CCM iugue homa zisizokwisha. Wasipokuwepo hao si ndo mtatafuna nchi kwa mikono miwili bila kunawa?!
 
Dr. Kanjanja si mwiba si chochote. Sana sana mnamtumia kama dodoki. Hana thamani zaidi ya kubeba matumaini ya wakristo ambao imethibitika bila ya shaka kuwa wameingizwa mkenge na wachagga ambao baada ya kubaini kuwa mbeleko ya Chadema haiwezi kuwapeleka kokote ndo maana wakaingiza gia ya udini ambayo inaonekana kufanikiwa.

mdini mkubwa inaonekana unaabudu nyumba moja na makata, lucifer and company
 
Back
Top Bottom