Waanza na Dr. Slaa A.S.A.P hao wengine hata wakibaki chama kinaweza kuendelea...
Hivi Dokta Slaa ndio amesababisha umaskini wako?
Kumbe mimi masikini?!!!
Nilikuwa sijui!!!
Maskini wa fikra. Kutwa kucha unamjadili Dokta Slaa. Huna kingine unachoweza kujadili. Huo ni umaskini wa Fikra. Mawazo yako ni mgando.. Akili yako inatumika kinyume na maumbile..
Hivi yule Mtei anayemiliki chadema una uhusiano naye?
CHADEMA inamilikiwa na Watanzania. Ndo maana nimesema wewe ni maskini wa fikra. Bora uwe maskini wa kipato kuliko kuwa maskini wa kipato.
Ingekuwa inamilikiwa na watanzania kusingekuwa na watu wanaoitwa "men from nowhere".
Mmiliki wa chadema ni Mzee Mtei. Ili mtu aongoze chadema ni LAZIMA kwanza Mzee Mtei akubali.
Je, una uhusiano na Mzee Mtei mmiliki wa chadema?
Naunga mkono Hoja,
Ila kosa la slaa ni "KUFUGA KIRUSI" ndani ya chama
Well said Bro,Ingekuwa inamilikiwa na watanzania kusingekuwa na watu wanaoitwa "men from nowhere".
Mmiliki wa chadema ni Mzee Mtei. Ili mtu aongoze chadema ni LAZIMA kwanza Mzee Mtei akubali.
Je, una uhusiano na Mzee Mtei mmiliki wa chadema?
Well said Bro,
Chama cha kitemi.
Chadema ni janga la taifa, wamewa brainwash vijana wengi sana matokeo yake wanatembea kama misukule, jana niliongea na Dr mmoja nikacheka sana, ananiambia eti wananci watamchagua kuwa mbunge kwa sababu atatumia power point presentation kwenye kampeni zake, nikajiuliza hivi wananchi wanataka picha au sera?
Waanza na Dr. Slaa A.S.A.P hao wengine hata wakibaki chama kinaweza kuendelea...