CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

Mleta mada ni mzalendo wa nchi yake nakubaliana naye.

Ritz, hayo ndio tuyatarajiayo toka kwako na si vinginevyo, kuidefend serikali iliyopo kwa gharama yoyote kwa kuwa unanufaika nayo, na nahisi una unasaba na wakubwa, na upo humu purposefully kuhakikisha hilo linatekelezeka. Slaa ni headache kwa CCM, wote waliotajwa wanaipa CCM tabu sana, wasipokuwepo hao, mtakula bila hata kujificha.
 
Mleta uzi wewe ni ccm damu uliowataja wanaisumbua ccm pole

Kabla hayo hayajatendeka wajibu kwanza kina makinda, Lowasa, Sita, Wasira n.k wamekuwa madarakani kwa muda gani na je bado wana mvuto na hawauwi chama?
 
Chilisosi unahitaji tiba ya magonjwa yafuatayo ndipo uje JF uendelee kujadiliana nami.

1. OCD (Obsessive Compulsive Disorder)

2. DG (Delusions of Grandeur)

3. CLD (Compulsive Lying Disorder)

4. ASPD (Attention Seeking Personality Disorder)

5. ODD (Oppositional Defiant Disorder)

6. MPD (Multiple Personality Disorder)

7. LD (Literacy Disorders)

haya magonjwa ni ndyo yanayokusumbua wewe au umesahau dada.
 
Huyu mleta mada kalewa pombe iitwayo Magamba Premier Lager. MPL,mara nyingi husababisha hata mtu kudai kavaa nguo kumbe yupo uchi.
 
watanzania kwasasa wapenda mabadiliko kwa kiasi fulani tumeingiwa na wasiwasi kufuatia muenendo wa chama ambacho tumekua tukikitumaini kwa muda sasa kama ndio chama mbadala, Chama cha Democrasia na maendeleo kwasasa kinapitia hali ngumu sana ya mpito siasa za ndani ya chama zikiwa ni mojawapo ya changamoto kali ambazo kama zisipoangaliwa kwaumakini zitapelekea kusambaratika kwa chama na hatimaye kupoteza kabisa matumaini ya watanzania ya maisha Bora na amani.

Mimi Kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashauri Chadema ijitazame upya katika kioo na kubaini wapi ambapo kuna matatizo, na Democrasia ya kweli inapaswa kuchukua mkondo wake, kama ilivyo kwa sura ya Mtu kwamba pasipo kioo mtu hawezi kujua ni wapi palipo na uchafu, chadema hii nafasi ya sasa ni nafasi muhimu sana ya kufanya mabadiliko ya kimfumo na kuondoa aina zote za masalia ndani ya chama na kuukabidhi ''UMMA ukiamulie chama'' Umma ndio unajua unachokitaka kutoka kwa CHADEMA.

Napendekeza timu mpya iundwe kuongoza chama na kama nia yakweli ya kuleta mabadiliko ipo. wafuatao waondolewe kabisa katika madaraka ya juu:

1.Freeman Mbowe.
2.Dr slaa.
3.Rwakatare.
4.Tundulisu.

Sindano inauma lakini afya bora ni muhimu kuliko maumivu ya muda mfupi, hawa nilazima waondolewe kwakuwa hawa ndio wanaokidumaza chama, chama hiki sio mali yao ila ni mali ya watanzania.

Kwanini Hao waondolewe katika madaraka ya Juu?
1. Mbowe: Hana jambo jipya kwa watanzania, nimtu anaepigania zaidi umaarufu wake na maslahi yake, kuliko maslahi
ya Taifa, na hili lipo wazi hata wanao muunga mkono wanajitahidi tu kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.
message hii ilivyoanza niliamini itamaliza na ushauri mzuri sana lakini umemaliza na uharo.
 
Waanza na Dr. Slaa A.S.A.P hao wengine hata wakibaki chama kinaweza kuendelea...

Unawahi kweli kujitokeza kwenye thread za ki-ngese ki-ngese.
Sasa hii nayo ni thread ya kuchangia? Leteni uzi wa maana. Mmeishiwa.
 
Majata:
Sasa hapa na wewe umekaa ukafikiria sana ukaona u-post sasa hii thread. Jipange upya, this is rubish, hustahili hata kupata posho kwa hili.
 
Hao wote wanafaa wakae pembeni ila kirusi kinachoiua CDM kipo na kitaendelea kuwepo mpaka kitimize kazi yake. Tatizo mnaiandama CCM wakati ukweli CDM hakipo tayari kuchukua nchi kwa sasa lazima ipandikizwe kirusi kife maana inaonekana watu wako tayari kuwapa nchi ili hali hakuna kiongozi CDM anayeweza kuunda serikali
 
Blah blah blah blaa....thread kama hii iliyoletwa na gamba utayaona magamba menzie shenzi taipu yanaogelea kinoma humu!!!!tekelezeni ahadi zenu kwa wananchi achaneni na Chadema yetu!!!
Mpaka 2015 mtajampa....
 
hao jamaa ulio wataja ni sindano nne za moto na lema tano zitakazoimaliza ccm 2015,,PEOPLE'S .....,....!!
 
watanzania kwasasa wapenda mabadiliko kwa kiasi fulani tumeingiwa na wasiwasi kufuatia muenendo wa chama ambacho tumekua tukikitumaini kwa muda sasa kama ndio chama mbadala, Chama cha Democrasia na maendeleo kwasasa kinapitia hali ngumu sana ya mpito siasa za ndani ya chama zikiwa ni mojawapo ya changamoto kali ambazo kama zisipoangaliwa kwaumakini zitapelekea kusambaratika kwa chama na hatimaye kupoteza kabisa matumaini ya watanzania ya maisha Bora na amani.

Mimi Kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashauri Chadema ijitazame upya katika kioo na kubaini wapi ambapo kuna matatizo, na Democrasia ya kweli inapaswa kuchukua mkondo wake, kama ilivyo kwa sura ya Mtu kwamba pasipo kioo mtu hawezi kujua ni wapi palipo na uchafu, chadema hii nafasi ya sasa ni nafasi muhimu sana ya kufanya mabadiliko ya kimfumo na kuondoa aina zote za masalia ndani ya chama na kuukabidhi ''UMMA ukiamulie chama'' Umma ndio unajua unachokitaka kutoka kwa CHADEMA.

Napendekeza timu mpya iundwe kuongoza chama na kama nia yakweli ya kuleta mabadiliko ipo. wafuatao waondolewe kabisa katika madaraka ya juu:

1.Freeman Mbowe.
2.Dr slaa.
3.Rwakatare.
4.Tundulisu.

Sindano inauma lakini afya bora ni muhimu kuliko maumivu ya muda mfupi, hawa nilazima waondolewe kwakuwa hawa ndio wanaokidumaza chama, chama hiki sio mali yao ila ni mali ya watanzania.

Kwanini Hao waondolewe katika madaraka ya Juu?
1. Mbowe: Hana jambo jipya kwa watanzania, nimtu anaepigania zaidi umaarufu wake na maslahi yake, kuliko maslahi
ya Taifa, na hili lipo wazi hata wanao muunga mkono wanajitahidi tu kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.
Chadema sio Chama tawala jamani, CHADEMA ni moja kati ya vyama vya upinzani zaid ya 18! Ningeshauri muviangalie na vingine na sio lazima wote tubanane CHADEMA wengine nendeni NRA, TADEA, UMD, DP NK, Sisi tulio CHADEMA tumelidhika na jinsi kinavyoendeshwa kwa ustaarabu na Mbowe na Dr Slaa, ila nyinyi msioridhishwa nawashauri nendeni kwingine huko nako kuzuri

Naamini kwa mwanachama mwaminifu kwa CHADEMA na KATIBA yake hawezi ropoka ropoka hapa kama wewe ni mwanachama angalia utendaji wa mwenyekiti wako wa msingi mbane kwenye vikao, mkifanya vikao mtakijenga chama ila mkija hapa na kuropokaropoka juu ya uongozi wa makao makuu..... nendeni KWINGINE!!
 
Waanza na Dr. Slaa A.S.A.P hao wengine hata wakibaki chama kinaweza kuendelea...

Njia ya Mkato ni kumng'oa kucha na meno kisha kumtelekeza Mabwepande! Nje ya utaratibu wenu huu mtukufu, pale hatoki, yuko na ataendeea kuwabangua bongo zenu sana!
 
Hao wote wanafaa wakae pembeni ila kirusi kinachoiua CDM kipo na kitaendelea kuwepo mpaka kitimize kazi yake. Tatizo mnaiandama CCM wakati ukweli CDM hakipo tayari kuchukua nchi kwa sasa lazima ipandikizwe kirusi kife maana inaonekana watu wako tayari kuwapa nchi ili hali hakuna kiongozi CDM anayeweza kuunda serikali

Kwa pumba kama hii unastahili bei gani? Pole sana njaa hizi zinatutaabisha! Najua ulikua unataka kujenga hoja, lakini macho yako na masikio yamejielekeza kwenye sim yako ya mkononi kuangalia ingizo la M-Pesa!
 
Back
Top Bottom