CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

nami nimekuwa na mawazo kama ya mtoa mada ..nimekuwa na maswali mengi sana kichwan mwngu ,kwan chadema bila DR.SILAA haiwezkan?? Huyu babu huku kwetu anachukiwa sana maana hana jipya kabisa mi namshauri akapumzike na kama watataka kumuweka karibu basi abaki kuwa mshauri tu .
 
Hahahahahahaha! Majata=zemakopo=tume ya katiba=ritz. Yaani hawa jamaa wanaanzisha uzi halafu wanakuwa wanau-support na different IDs. Sasa mnafanya kwa kumfurahisha J.K au Wassira? CCM mnadanganyana kijinga sana au ndiyo mambo ya ujira
 
Chadema ni fujo 2.
watanzania kwasasa wapenda
mabadiliko kwa kiasi fulani tumeingiwa na wasiwasi kufuatia muenendo wa
chama ambacho tumekua tukikitumaini kwa muda sasa kama ndio chama
mbadala, Chama cha Democrasia na maendeleo kwasasa kinapitia hali ngumu
sana ya mpito siasa za ndani ya chama zikiwa ni mojawapo ya changamoto
kali ambazo kama zisipoangaliwa kwaumakini zitapelekea kusambaratika kwa
chama na hatimaye kupoteza kabisa matumaini ya watanzania ya maisha
Bora na amani.

Mimi Kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashauri Chadema ijitazame upya
katika kioo na kubaini wapi ambapo kuna matatizo, na Democrasia ya kweli
inapaswa kuchukua mkondo wake, kama ilivyo kwa sura ya Mtu kwamba
pasipo kioo mtu hawezi kujua ni wapi palipo na uchafu, chadema hii
nafasi ya sasa ni nafasi muhimu sana ya kufanya mabadiliko ya kimfumo na
kuondoa aina zote za masalia ndani ya chama na kuukabidhi ''UMMA
ukiamulie chama'' Umma ndio unajua unachokitaka kutoka kwa CHADEMA.

Napendekeza timu mpya iundwe kuongoza chama na kama nia yakweli ya
kuleta mabadiliko ipo. wafuatao waondolewe kabisa katika madaraka ya
juu:

1.Freeman Mbowe.
2.Dr slaa.
3.Rwakatare.
4.Tundulisu.

Sindano inauma lakini afya bora ni muhimu kuliko maumivu ya muda mfupi,
hawa nilazima waondolewe kwakuwa hawa ndio wanaokidumaza chama, chama
hiki sio mali yao ila ni mali ya watanzania.

Kwanini Hao waondolewe katika madaraka ya Juu?
1. Mbowe: Hana jambo jipya kwa watanzania, nimtu anaepigania zaidi
umaarufu wake na maslahi yake, kuliko maslahi
ya Taifa, na hili lipo wazi hata wanao muunga mkono wanajitahidi tu
kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo
ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.
 
Nami pia napendekeza Mhe.Kikwete,Kinana na Nchemba waondolewe nafasi zao za juu ndani ya CCM maana wanakidhoofisha chama!
 
Kwa pumba kama hii unastahili bei gani? Pole sana njaa hizi zinatutaabisha! Najua ulikua unataka kujenga hoja, lakini macho yako na masikio yamejielekeza kwenye sim yako ya mkononi kuangalia ingizo la M-Pesa!

Sijaomba pesa na wala sihitaji pesa nilizo nazo zinanitosheleza kwa mengi japo si yote nashukuru mungu. Wewe ni mmoja wa kirusu CDM maana sifa ya kirusi ni kubadilika badilika ndio maana kikakosa tiba. Unabidi ubadilike usijibu hoja kwa kufunika kombe mwana haramu apite.

Nasimamia katika Utanzania wangu CCM kinaitaji chama madhubuti cha upinzani chenye Viongozi wenye Umoja ndio nacho kiweze kuongoza la sivyo nchi itayumba. Sasa tujiulize CDM kina umoja wa viongozi? na bila ya umoja utaunda vp serikali?

Mwisho kwa nini wasiwe na umoja kama nia yao moja kuingia madarakani? hapo ndio utajua kuwa kila mmoja wao ana lake jambo. Machoni mwentu ni viongozi shupavu miyoni mwao ni mapapa wakubwa wenye uroho wa madaraka
 
watanzania kwasasa wapenda mabadiliko kwa kiasi fulani tumeingiwa na wasiwasi kufuatia muenendo wa chama ambacho tumekua tukikitumaini kwa muda sasa kama ndio chama mbadala, Chama cha Democrasia na maendeleo kwasasa kinapitia hali ngumu sana ya mpito siasa za ndani ya chama zikiwa ni mojawapo ya changamoto kali ambazo kama zisipoangaliwa kwaumakini zitapelekea kusambaratika kwa chama na hatimaye kupoteza kabisa matumaini ya watanzania ya maisha Bora na amani.

Mimi Kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashauri Chadema ijitazame upya katika kioo na kubaini wapi ambapo kuna matatizo, na Democrasia ya kweli inapaswa kuchukua mkondo wake, kama ilivyo kwa sura ya Mtu kwamba pasipo kioo mtu hawezi kujua ni wapi palipo na uchafu, chadema hii nafasi ya sasa ni nafasi muhimu sana ya kufanya mabadiliko ya kimfumo na kuondoa aina zote za masalia ndani ya chama na kuukabidhi ''UMMA ukiamulie chama'' Umma ndio unajua unachokitaka kutoka kwa CHADEMA.

Napendekeza timu mpya iundwe kuongoza chama na kama nia yakweli ya kuleta mabadiliko ipo. wafuatao waondolewe kabisa katika madaraka ya juu:

1.Freeman Mbowe.
2.Dr slaa.
3.Rwakatare.
4.Tundulisu.

Sindano inauma lakini afya bora ni muhimu kuliko maumivu ya muda mfupi, hawa nilazima waondolewe kwakuwa hawa ndio wanaokidumaza chama, chama hiki sio mali yao ila ni mali ya watanzania.

Kwanini Hao waondolewe katika madaraka ya Juu?
1. Mbowe: Hana jambo jipya kwa watanzania, nimtu anaepigania zaidi umaarufu wake na maslahi yake, kuliko maslahi
ya Taifa, na hili lipo wazi hata wanao muunga mkono wanajitahidi tu kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.

Waanza na Dr. Slaa A.S.A.P hao wengine hata wakibaki chama kinaweza kuendelea...

Naunga mkono Hoja,

Ila kosa la slaa ni "KUFUGA KIRUSI" ndani ya chama

Wote hao hawana tatizo mtu anae haribu chadema ni mzee edwin mtei anakifanya chama kama cha bibi yake,nashauri atoe invoice chadema wamlipe waachane nae huyu babu ndio mwenye fitina zote hasa za kuleta ukabila ndani ya chadema

Mleta mada ni mzalendo wa nchi yake nakubaliana naye.

Hakuna wa kumuogopa. Bali kwa masilahi ya ujenzi wa demokrasia, si mtu sahihi kwa wakati kwa.sababu hana jipya bali anajifunza uongozi. Si mkweli kinyume na utashi wa wakati huu. Pia ni mpenda sifa na kwa sasa anadhani yeye ni zaidi Chadema kwa sababu tu, kwamba yeye ndiye mbeleko ya matumaini ya wakristo wanaoiunga mkono Chadema kama ilivyotokea 2010. Zaidi ya hilo hana jipya .

Nawasi saana na Ben, sina imani nae ktk CDM. Time will tell.


Nasikia HARUFU YA Bangi, PUMBA, UDINI na UKABILA.. Kwa hiyo CHAMA APEWE ZITTO kwakuwa ni mwisilamu mwenzenu??!!!...

CHAUMA mnawashauri nini?!!!!!

Haya Riziwani JK, Mtela, Shonza, Nape na Mwigulu oneni matokeo ya udini na ukabila mnaoupanda!!!!...

 
Hao uliowataja ndio wakiondoka nani aingie???

Kama unapenda maendelo unaona Chadema hakifikii unayotaka si uanzishe chama kingine kiwe utakavyo?

Siasa ni siasa hakuna nchi duniani isiyo na chamakisicho na drama na uongo n.k.
 
Sijaomba pesa na wala sihitaji pesa nilizo nazo zinanitosheleza kwa mengi japo si yote nashukuru mungu. Wewe ni mmoja wa kirusu CDM maana sifa ya kirusi ni kubadilika badilika ndio maana kikakosa tiba. Unabidi ubadilike usijibu hoja kwa kufunika kombe mwana haramu apite.

Nasimamia katika Utanzania wangu CCM kinaitaji chama madhubuti cha upinzani chenye Viongozi wenye Umoja ndio nacho kiweze kuongoza la sivyo nchi itayumba. Sasa tujiulize CDM kina umoja wa viongozi? na bila ya umoja utaunda vp serikali?

Mwisho kwa nini wasiwe na umoja kama nia yao moja kuingia madarakani? hapo ndio utajua kuwa kila mmoja wao ana lake jambo. Machoni mwentu ni viongozi shupavu miyoni mwao ni mapapa wakubwa wenye uroho wa madaraka

Wakuti, nakiri uwezo wako kifedha, yaweza ikawa ni uwezo wa kujishughulisha au hata wa kuwezeshwa! Msingi hapa ni kwamba hakuna chama kisicho na matatizo! Maadamu chama ni mkusanyiko wa watu wenye fikra mbalimbai na mitazamo mbalimbai, migongano ni sehemu ya maisha. Kinachotia shaka katika maelezo yako hadi kuleta hisia ya kuwa katika payrol ya magamba ni suluhusho la migogoro ya CDM kwa mtazamo wako! Ili chama kiwe imara hakihitaji umoja wa viongozi pekee, bali umoja wa wanachama kwa ujumla wao! Viongozi ni kikundi kidogo tu cha wanachama, wanakauli, fine, lakini wao si kila kitu katika chama! Najua umezoe mfumo wa kiimla wa magamba, ukiwa na fedha una kila kitu katika chama, CDM iko tofauti ki muundo! Itazame kwa mtazamo wa CDM, na sio kwa mwavuli wa magamba utaona!
 
Kumbe wadhaifu hivyo hata hao walowatuma kuleta hizo thread watawanyima posho kwa sababu hamjajipanga kipropaganda mmeganda kifikra na mtazamo duni mleta thread na followers wako nendeni mkasome mtoe ujinga nyie bado sana
 
umeona CDM ni mwiba mchungu ukiongozwa na hao Makamanda, Haondoki mtu na bado mwiba mklai zaidi unakuja mpaka magamba mtakapo jua nchi hii hamna hati miliki! Mtasemasema wee lakini hakuna mtu atakayetetereka.
 
Unaugonjwa unaoitwa zittoslaambowelisuphobia unaoambukizwa na kirusi kiitwacho CCMISM Shenzitypists

sanaa iliyotumika imenifurahisha kuliko maudhui ndani ya post yako... you have made my day ndugu yangu though ni kikomed komed
 
Back
Top Bottom