CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

Hizi zote ni dalili za mwisho mwisho CHADEMA kuingia Ikulu.
 
CHADEMA mwiba mkali kumbe!!!!!!
Ni sawa unashauri gari litolewe engine afu et litafika safari yake salama!!!!huo n nn???
 
mmeshikwa pa baya kumbe ndo wanaowaumiza vichwa na bado Dr. Slaa, Mboye na Tudnu kaza buti hadi kieleweke 2015 hakuna kulala tumechoka na chama cha mafisadi hata leo jpili chakula cha kupika tabu maisha yamekuwa magumu hadi

mapenzi binafsi kwa hawa haya saidii cha muhimu ni maendeleo ya watanzania. ingekua marekani wanamsimamo kama wako obama asingekuwa rais, watu tunataka maendeleo na si mapenzi binafsi ya mtu, hawa lazima watuachie chama utake usitake.
 
Kwanini Hao waondolewe katika madaraka ya Juu?
1. Mbowe: Hana jambo jipya kwa watanzania, nimtu anaepigania zaidi umaarufu wake na maslahi yake, kuliko maslahi
ya Taifa, na hili lipo wazi hata wanao muunga mkono wanajitahidi tu kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.

Nilipoanza kusoma mwanzoni, nilishawishika na mawazo yako, lakini nilipofikia kwenye sababu za kwanini waondolewe, nikapoteza imani kama wewe ni mpenda mabadiliko au ni mmoja wa wale wanaomtumikia khafir ili kufanikisha malengo yao.

Katika sababu zote ulizotaja hakuna yoyote ya msingi na yenye ukweli. Kwa kuwa umezitaja kutokana na hisia.
katika pendekezo lako la kwamba watolewe hujaweza kupambanua ni akina nani wanafaa na kwanini? Inawezekana hapa kuna watu mnachezo beats za mtu fulani ambaye anatafuta kwa hali na mali kushika madaraka ya juu ya chama au mnamhofia mtu fulani ndani ya CHADEMA na hivyo mnatafuta kila sababu ya kumtoa ili mpate kukimaliza chama.

CHADEMA imepita katika misukosuko mikubwa na migumu tangu ya wakati wa Wangwe, lakini ni timu hii hii unayosema leo haifai ndiyo iliyoivusha CHADEMA katika mazingira magumu na ya shida hata kukiwezesha CHADEMA kuwa chama kikuu cha upinzani. Leo inakuwaje tuseme hawa ndiyo wanakiua chama? Tunataka kusema wamesahau machungu na magumu waliyoyapitia katika kukikuuza chama kwa pesa zao za mfukoni, wakati huo kikiwa hakina hata ruzuku?

Hivi kuna yeyote anayefahamu taabu adha na shida walizokutana nazo akina Zitto, mbowe, Bob Makani (RIP) slaa na wengineo wengi katika harakati ya kukijenga chadema? Mimi nasema hawa wachache ndiyo wanaojua uchungu wa chadema, na wanajua wamepitia mangapi magumu. Demokrasia ya ndani ya chama ndiyo iamue kwamba waendelee au hapana na si hisia za mtu mmoja tu anayekuja na sababu zisizo na msingi na kusema hawa watoswe. Hatutakuwa wepesi kudanganyika kirahisi kiasi hicho.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ulishaonaga ccm wanampenda Dr slaa?maana huyo ndio tatizo kwa ccm sio kingine maana watanzania wote ni mali yao.Asante mccm kwakusema ukwli
 
Ukiona hivi basi fahamu watu wameshikwa pabaya ndio maana mapovu dozen yaaani hapa mkuu moja kwa moja hawa jamaa ulowataja wanakunyimeni usingizi sana tu ndio maana mnatapatapa poleni sana na mwisho wenu 2015.Imekula kwenu Maccm na hawa ulowataja watakuwa viongozi wako 2015 kumbuka wao ni viongozi na watakuwa viongozi wako na hawatakuwa watawala kama kina Kikwete Jakaya Mrisho ambaye hajitambui kama nani kwa nchi hii can u imagin ati Rais anasema ukiona foleni za magari fahamu hayo ndio maandeleo na pia hafahamu kwa nini nchi anayoongoza umaskini unatoka wapi,Mkuu nafahamu unaongea tu kwa kuwa unashiba kupitia Maccm hebu kaa chini jiulize Kontena la Pembe za Ndovu linapita Bandarini Dar-Es-Salaam halijakamatwa then linaenda kamatwa Thailand na jingine China sasa kweli nchi hii ina Viongozi au wezi na nani kaliachia kupita vizuizi vyote kama si MaCcm kaka mwisho wenu waja na ni hapooooo 2015
 
Hizi zote ni dalili za mwisho mwisho CHADEMA kuingia Ikulu.

kama ni ikulu ya kaburini sawa, bila hawa kuondolewa tegemea hakuna chadema ni bora hata mnyika awekiongozi mkuu wa chama kuliko mbowe.
 
kama ni ikulu ya kaburini sawa, bila hawa kuondolewa tegemea hakuna chadema ni bora hata mnyika awekiongozi mkuu wa chama kuliko mbowe.

Naona unatapatapa tu kama umekatika kichwa
 
Bila shaka leo utapata posho ya uhakika kwa kulitaja jina linaloogopwa na ccm na serikali yake.
Ushauri/maoni yako unapaswa kuyaelekeza kwa jamaa zako wa lumumba kwakuwa wao ndio wanahitaji ushauri kwa sasa.
 
Huenda hoja yako inaukweli, lakini tuangalie CCM kwanza, Viongozi gani wakiondolewa, chama kitarudi katika misingi yake ya kumtetea mlala hio?
 
Ukiona hivi basi fahamu watu wameshikwa pabaya ndio maana mapovu dozen yaaani hapa mkuu moja kwa moja hawa jamaa ulowataja wanakunyimeni usingizi sana tu ndio maana mnatapatapa poleni sana na mwisho wenu 2015.Imekula kwenu Maccm na hawa ulowataja watakuwa viongozi wako 2015 kumbuka wao ni viongozi na watakuwa viongozi wako na hawatakuwa watawala kama kina Kikwete Jakaya Mrisho ambaye hajitambui kama nani kwa nchi hii can u imagin ati Rais anasema ukiona foleni za magari fahamu hayo ndio maandeleo na pia hafahamu kwa nini nchi anayoongoza umaskini unatoka wapi,Mkuu nafahamu unaongea tu kwa kuwa unashiba kupitia Maccm hebu kaa chini jiulize Kontena la Pembe za Ndovu linapita Bandarini Dar-Es-Salaam halijakamatwa then linaenda kamatwa Thailand na jingine China sasa kweli nchi hii ina Viongozi au wezi na nani kaliachia kupita vizuizi vyote kama si MaCcm kaka mwisho wenu waja na ni hapooooo 2015

ndugu jaribu kuchangia au kupinga hoja , kwani isue ni kuhusu kuondolewa kwa hawa maccm wakubwa wa chini kwa chini wakiendelea kutufanya sie hatuoni, mbowe, slaa na rwakatare wanajua wanacho kifanya bora kidogo mkokoteni lisu hawajui hawa wenzie ni nani.
 
2.Dr Slaa: mafia alitaka kumuua zitto ref mwampamba na ya rwakatare.
3.Rwakatare: Anatekeleza mambo maovu ya kuua wasio na hatia kwa maagizo ya wakubwa.
4.Tundulisu: anatetea uovu wa rwakatare.
Inaelekea unataka waondolewe kwa sababu ya Lwakatare (kwa kuwa ametokea katika 3/4 ya list yako), na si kwa sababu za madudu fulani ambayo ni mengi (accumulated) kiasi kwamba wamekuwa wakidumaza chama. Sasa ndugu yangu, hivi ishu ya Lwakatare ndio iwaondoe viongozi watatu madarakani? Hebu jipange vizuri, tafuta mkusanyiko wa makosa mazito ya kuwaondoa, sio ishu moja ambayo hata uchunguzi wake haujakamilika. Vinginevyo utaonekana kama vile wewe ni moja ya watu wanawaogopa hao au baadhi ya hao kwa kuwa wanawanyima usingizi baadhi ya watu.
 
Back
Top Bottom