CHADEMA Haiko na Raila, please...

CHADEMA Haiko na Raila, please...

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
23,265
Reaction score
17,134
Naona kuna upotoshaji mkubwa sana wa baadhi ya members humu JF........THIS IS FOR THE RECORD!

attachment.php
 
Hii barua ya kutengeneza tu. Tangu mwanzo mliandika wenyewe CHADEMA(RAILA) vs CCM(UHURU) yamewafika shingoni sasa, haya ogeleeni tuone kama mtafika ng'anmbo
 
CCM hawataki mtu anayekufa kisiasa wakati chenyewe ni mfu!!!!! wanamtaka Uhuru Kenyata wakati hamna kiongozi wa mwenye umri na uwezo kama yeye
 
Hivi ewe ulieanzisha thread hii...unajua kuwa Chadema walitoa Truck ya matangazo na msanii kwa ajili ya kumpigia campaign Raila Odinga? Na wamekaa huko kwa mwezi mmoja mpaka Jumapili iliyopita.

Source: BBC-Swahili, VOA-Swahili (Reffer to their on-air broadcasts za Jumamosi/Jumapili 03rd March, 2012.
 
Hivi ewe ulieanzisha thread hii...unajua kuwa Chadema walitoa Truck ya matangazo na msanii kwa ajili ya kumpigia campaign Raila Odinga? Na wamekaa huko kwa mwezi mmoja mpaka Jumapili iliyopita.

Source: BBC-Swahili, VOA-Swahili (Reffer to their on-air broadcasts za Jumamosi/Jumapili 03rd March, 2012.

Toa na wewe hati ya makabidhiano ya hilo truck na malipo ya msanii, tunataka facts atutaki porojo!
 
Hivi ewe ulieanzisha thread hii...unajua kuwa Chadema walitoa Truck ya matangazo na msanii kwa ajili ya kumpigia campaign Raila Odinga? Na wamekaa huko kwa mwezi mmoja mpaka Jumapili iliyopita.

Source: BBC-Swahili, VOA-Swahili (Reffer to their on-air broadcasts za Jumamosi/Jumapili 03rd March, 2012.

Tumaini Makene please clarify
 
Hivi ewe ulieanzisha thread hii...unajua kuwa Chadema walitoa Truck ya matangazo na msanii kwa ajili ya kumpigia campaign Raila Odinga? Na wamekaa huko kwa mwezi mmoja mpaka Jumapili iliyopita.

Source: BBC-Swahili, VOA-Swahili (Reffer to their on-air broadcasts za Jumamosi/Jumapili 03rd March, 2012.
Shida iko wapi? Hiyo ni sawa na Dokii kupanda jukwaa la CCM nakukata kiuno yote ni burudani!
 
ngoja waje wabishi wa jf

Kayataka Mwenyewe, wenyewe walikimbilia kuleta mada ya kuonesha hisia zao kwa ODINGA sasa wanaruka ruka nini, wavumilie tu. Nasikia EZEKIEL WENJE kapiga kura Migori, magari ya M4C yako huko
 
Kayataka Mwenyewe, wenyewe walikimbilia kuleta mada ya kuonesha hisia zao kwa ODINGA sasa wanaruka ruka nini, wavumilie tu. Nasikia EZEKIEL WENJE kapiga kura Migori, magari ya M4C yako huko

Hayo yalikuwa mapenzi na matakwa ya mtu au ya chama? Nataka uthibitisho wa CHADEMA kuhusiana na Raila!
 
CHADEMA na CCM waache kujiozesha kwa wakenya, wakomalie nchi yao

tupo hatua laki moja nyuma ya wakenya, tusimame wenyewe, sio kujiwekesha kwenye kila kitu kinachokamata media attention

CCM na CHADEMA hawahitaji siasa za kenya kuongoza Tanzania, wanahitaji uwezo na utashi

upuuzi mwingine humu JF unakera sana
 
Kwani wakimsapoti na akashindwa nini kitaharibika? Kuweni watu wazima..mbona wewe juzi uliisapoti Man united
 
Hii barua ya kutengeneza tu. Tangu mwanzo mliandika wenyewe CHADEMA(RAILA) vs CCM(UHURU) yamewafika shingoni sasa, haya ogeleeni tuone kama mtafika ng'anmbo

Wewe ivi wadhan sie bado ni Mbulula km maCCM? wadhani wakati magufuli alvoenda kt kampeni za odinga akiiwakilisha CCM hatukufahamu? au wataka ushahidi wa picha akijitambulisha mbele jukwaani, CCM NA KIFO NI CHANDA NA PETE. IMEKULA KWENU MACCM
 
Chadema kweli utoto umewazidi juzi wameenda kumpigia campaign Odinga na mkajinadi eti Odinga ni Chadema sasa hivi mnaanza kuwashwawashwa tena
 
Mambo yameanza kunuka. Hata Yesu aligeukwa na baadhi ya wafuasi wake kwa matamanio ya kidunia. Yaani pamoja na ushahidi wote wa CHADEMA kupeleka magari, baadhi ya wabunge na kutoa michango ya kifedha kwa ODM, leo wanageuka? hatari. Na huo ufafanuzi mbona hawajatoa viongozi wa CDM kwenye vyombo vya habari? maana ninavyowafahamu kwa kupenda sifa wangeitisha press conference.

halafu, hayo madai si ya leo au jana. yalikuwepo hata kabla ya uchaguzi haujafanyika. leo mmeona maji yameanza kuwafika shingoni na ni siku moja tu kabla ya matokeo ya mwisho kutangazwa hapo tarehe 8.3.2013 asubuhi mnaanza kuwakana ODM na kusingizia kuwa CCM ndiyo wana ushirika na ODM. Hivi inaingia akilini?

halafu barua yenyewe ina utata;
- kama ulikuwa ni mwaliko wa kichama, ingepaswa uandikiwe uongozi wa chama cha mapinduzi. halafu kwa kawaida barua za organizations hazimlengi mtu. hivyo kwa kitendo cha kumuandikia mtu tena kwa kumtaja, Waziri wa Ujenzi, John Pombe Magufuli, bila shaka ni mpango ambao umeandaliwa na watu ambao upeo wao katika barua za kiofisi ni finyu na ninaamini kuwa hao ni viongozi wa CHADEMA ambao hawatumii hata chembe ya akili yao kufikiria
- inawezekana vipi Mkutano ufanyike tarehe 7/12/2012 halafu barua ya mwaliko iandikwe tarehe 5/12/2012. kwa maoni ya haraka, barua hiyo kama ingekuwa ni ya kweli ingewafikia walengwa baada ya tukio. hata kama utatumia fax, lazima kuna taratibu za kiofisi mpaka barua kufikia mlengwa na kufanyiwa kazi kwa wakati.
-udhaifu mwingine wa barua hiyo ni kuwa maudhui ya barua yenyewe haieleweki.je ilikuwa ni kukialika chama cha mapinduzi kuimarisha nguvu za ODM au ilikuwa ni nini?
-halafu utata mwingine ni kitendo cha barua kukosa kumbukumbu namba. hata kwa watu waliosoma hadi darasa la saba tu bila shaka wana uelewa kuwa barua ya kiofisi tena ya chama ambacho kipo madarakani lazima iwe na Kumbukumbu Namba. kwa hiyo barua iliyotolewa inakosa hadhi na ndipo tunapoamini kuwa imeandaliwa na wafuasi wa CHADEMA ambao wengi wao uelewa wao ni mdogo katioka mambo ya kiofisi na huenda ni hawa waliopata alama 0 kwenye mitihani ya kidato cha nne au wale waliochora zombi na messi:amen:

kwa ujumla nimeona kichefuchefu baada ya kuiona hiyo barua na kitendo cha kujinasibisha kuwa imeandikwa na ODM
 
Back
Top Bottom