Strategy za chadema hua muda mwingine hazieleweki kabisa
Pamoja na hizi mbinu ni lazima wafanye kila liwezekanalo kwenda Kufanya organization kwenye grassroots huko vijijini huko ndiko kwenye ushindi!!
Strategy za chadema hua muda mwingine hazieleweki kabisa
Ugaidi hauna chama.Unaweza kumfungulia kesi ya mchongo Mwenyekiti wa chama kilichokufa?
WamechanganyikiwaStrategy za chadema hua muda mwingine hazieleweki kabisa
Kwani ina umuhimu?wewe Mzee Idugunde kunywa dawa upumzike,Sio Kila kitu lazima kikuguse wewe binafsi na ukiona kitu hukielewi jua hakikuhusu hivyo usipoteze Muda kwacho!
Wewe huwezi kujua. It's not your levelHuu ni upuuzi, hii inasaidia nini?
Unakusaidia weweHuu ni upuuzi, hii inasaidia nini?
Mungu ibariki CHADEMAHii ni baada ya Viongozi wa Bavicha kutinga Uwanjani humo kushuhudia fainali ya Mapinduzi Cup kati ya Simba na Azam FC na kuamsha Shangwe Uwanja mzima .
View attachment 2079845View attachment 2079846View attachment 2079847
Tajiri chawaSikia wewe Masikini , Mbowe tumekutana kwenye biashara Canada , hatukujuana bongo , mimi siyo kapuku nimeajiri watanzania wenzako 300 , idadi kubwa kuliko ajira alizotoa Magufuli...
wewe jamaa Aisee Hivi una elimu kiwango Gani?Tajiri chawa
Hahahha acha kudanganya wenzako uwanja mzima watu hawana habari kabisa na Chadema Jamaa wapo wanne wanakatika tu peke yako.Je Chadema imeanza kuteka siasa za pande zote za nchi ?
Sasa kinachokuliza nini ?Mnazidi kutuonyesha BAVICHA jinsi mlivyoishiwa sera.
Mnafikia hatua ya kwenda kujiuza kwenye mechi za mipira?
Simba Sports Club V/S Azam Football Club....wapi na wapi na siasa zenu za kihuni.
Mlikwenda kwa maksudi na hizo t-shirt zenu mabango, kwa kutaka muichokonowe Polisi, mkidhani watawaambia msiingie uwanjani ili mpate kick kwenye Media.
Ila wakawa makini na wakawapotezea,
Sasa mmebaki kuja kuumbuka huku JF!
#Hatutakiwahuni.Tanzania
Shame on you@Erythrocyte
Moto uliyowashwa waendelea kuwakaHuu ni upuuzi, hii inasaidia nini?
Wewe si umeamua kufumba macho ili wasikuone.Uongo mtupu 🤣🤣
Niko Amani Stadium karibu na hao BAAVICHAA....wala hakuna amsha amsha usemayo.
Mnalia lia nyinyi mnaojitembeza hadi kwenye burudani bila aibu.Sasa kinachokuliza nini ?
Just a rubbish!Moto uliyowashwa waendelea kuwaka
Watu wamewashutikia ACT na Zito ndumila kutatuJe Chadema imeanza kuteka siasa za pande zote za nchi ?
Hauoni au hausikii hilo shangwe na uwanja ulivyozizima?Hao watu watano tu wametikisa? nahisi hata huyu refa wa Leo ni chadema digital