Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
kwani hii forum ilitengenezwa kwa ajili ya kuponda ccm na kuktetea chadema. tupeni majibu mimi naunga mkono hoja tupewe cost nina machungu ya kukesha kulinda kura ukonga