Chadema, CCM yametimia

Mkuu Mkeshaji,
Huu ndio ukweli unajua kila siku unapiga kelele za ufisadi ufisadi, zimewachosha watanzania lazima Chadema kama chama ibuni falsafa mpya kutegemea kuhubiri ufisadi kama kete yake haitakisaidia Chadema huko tuendako.
Ushauri wa bure. Anayeutaka ataubeba, na asiyeutaka ataupotezea.
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.

Kuna watu uwezo wao wa kufikiri ni sawa na Inzi
 
uchunguzi wako ni kwa mujibu wa nini? au unasukumwa na unazi wa kupindukia ulionao juu ya CCM?
Mm sijaona huo mwamko watu walionao juu ya CCM!

Mwananchi wa kawaida wa huko vijijini, mfano wa Igunga, Uzini au hata Arumeru wanakojiandaa na uchaguzi mdogo, haoni madhara ya ufisadi, Ufisadi mnaujua nyie wa mjini yule wa mjini ana kero zake kutopata maji safi na salama, huduma ya afya, soko la uhakika la kuuzia mazao yake.
 
CCM wamekuja na mbinu mpya ambazo JK ametoka nazo uingereza kwa DAVID CAMERON...

Si unajua juzi tu walikuwa pamoja Davos na jana wakawa wote kwa summit ya wasomali. Endeleeni kutamba na mbinu zenu za kikameruuuuuum muwapelekee wana Arumeru.

Acha uongo, hakuna asiyejua kuwa CHADEMA ndicho kinachofadhiliwa na CAMERON ndiyo maana hadi leo hawajatoa tamko kuhusu ushoga
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.

JF sio sehemu ya kupiga porojo......Uchunguzi wako ni kwa mujibu wa nn? weka supporting docs au data sio blah blah!
Usigeuze JF sehemu ya propaganda za CCM, propaganda zenu ni huko huko Daily news, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Michuzi Blog, Radio Uhuru, TBC, Clouds FM..etc Hapa ni home of great thinkers! No Research no Right to Speak!
 
unjua ukitumia simu huwa sometyme haioneshi mleta uzi ni nani ila inaonesha mchangiaji wa mwisho. laiti ningejua ni huyu kichaa ndo kaleta huu uzi wala niseangaika kufungua hii post.

inavyoonekana CDM tunawakuna sana magamba yao mpaka tunawatoa damu.
Naapa kuwa tutaendelea kuwakuna kwa kutumia rato maana naona umma haiwaridhishi....
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.
ccm oyeeeeeeeeeeee
ufisadi jadi yetu
 
Mwananchi wa kawaida wa huko vijijini, mfano wa Igunga, Uzini au hata Arumeru wanakojiandaa na uchaguzi mdogo, haoni madhara ya ufisadi, Ufisadi mnaujua nyie wa mjini yule wa mjini ana kero zake kutopata maji safi na salama, huduma ya afya, soko la uhakika la kuuzia mazao yake.

Mtatoka roho mwaka huu.Mmeona udini hauna nafasi Arumeru mmekuja na kampeni za ukabila.Shame!
 
Mkuu Mkeshaji,
Huu ndio ukweli unajua kila siku unapiga kelele za ufisadi ufisadi, zimewachosha watanzania lazima Chadema kama chama ibuni falsafa mpya kutegemea kuhubiri ufisadi kama kete yake haitakisaidia Chadema huko tuendako.

Kelele za ufisadi zitaisha pale tu hatua muafaka zitachukuliwa kwa wanaohusika na sheria kali kuwekwa kwa watakao jaribu kufanya hayo..Mkuu usiwaunder-estimate watanzania Ufisadi unawakera na kwa kuwa wanaanza kuamka na kujua kwamba umaskini wao unasababishwa na watawala..kwahiyo wacha tuombe mema waamke vizuri watumie demokrasia vizuri kufanya mabadiliko ambayo ndiyo msingi wa maendeleo..!
 
ccm oyeeeeeeeeeeee
ufisadi jadi yetu
Marytina, hebu jaribu kusoma hapa chini
Mwananchi wa kawaida wa huko vijijini, mfano wa Igunga, Uzini au hata Arumeru wanakojiandaa na uchaguzi mdogo, haoni madhara ya ufisadi, Ufisadi mnaujua nyie wa mjini yule wa mjini ana kero zake kutopata maji safi na salama, huduma ya afya, soko la uhakika la kuuzia mazao yake.
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.

Hapo kwenye red ndo pame-shake the credibilty of ur IQ.
 
Mkuu Mkeshaji,
Huu ndio ukweli unajua kila siku unapiga kelele za ufisadi ufisadi, zimewachosha watanzania lazima Chadema kama chama ibuni falsafa mpya kutegemea kuhubiri ufisadi kama kete yake haitakisaidia Chadema huko tuendako.
Watu wanasubiri ahadi yako kuhusu Arumeru Mashariki, kama ile uliyoitoa kuhusu Uzini.
 
JF sio sehemu ya kupiga porojo......Uchunguzi wako ni kwa mujibu wa nn? weka supporting docs au data sio blah blah!
Usigeuze JF sehemu ya propaganda za CCM, propaganda zenu ni huko huko Daily news, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Michuzi Blog, Radio Uhuru, TBC, Clouds FM..etc Hapa ni home of great thinkers! No Research no Right to Speak!

Sijui unataka data gani labda nikupe hii, matokeo ya uchaguzi mdogo wa majimbo mawili, Uzini, Igunga! au utasema Chadema waliibiwa kura?
 
Back
Top Bottom