Chadema, CCM yametimia

Labda Mnyika alikuwa quoted out of context. Nijuavyo mimi suala la maandamano bado lipo pale pale. Ni timing tu.

Jasusi,
Hivi wewe na John Mnyika nani msemaji wa Chadema?
 
ni kasi gani unayoitaka kwan michango yao bungeni huioni? hoja zao bungeni huzioni au ww unataka kasi gani zaidi?
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.


I can smell a rat here.
Yaonekana uliyeanzisha hii thread HUIJUI CHADEMA kabsaaaa!Na kama sitakosea haya ni maneno ya majitu ya CCM!
Ovyooooooo.
 
I can smell a rat here.
Yaonekana uliyeanzisha hii thread HUIJUI CHADEMA kabsaaaa!Na kama sitakosea haya ni maneno ya majitu ya CCM!
Ovyooooooo.

Nadhani huna hoja za msingi zaidi ya porojo.
 
Kimbunga,
Nakuhakikisha mipango ya maandamano bado ipo pale pale. It is just a matter of time and it has nothing to do with mkutano wa Ikulu kuhusu katiba. Just stay tuned!
Mkuu nadhani kuna maelewano ambayo hayako wazi lakini wajanja tumeng'amua.
 
Jasusi,
Hivi wewe na John Mnyika nani msemaji wa Chadema?
It does not matter. Mnyika naye yupo hapa mara kwa mara. Kama nimesema uwongo atanisahihisha. Ninachojaribu kufanya ni kusuta ile dhana iliyoenea kwamba Chadema wameacha maandamano baada ya kukutana na Kikwete Ikulu. Si kweli na maandamano bado ni mojawapo ya mbinu za Chadema. It is just a matter of timing.
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.


Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.

C.r.a.p!!..idiocy.
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.


Mzee siasa ni ngumu sana,ukishashindwa ktk uchaguzi lazima ujipange na uangalie wapi ulishindwa.Sasa wanajipanga upya na uelewe watu wa chadema walikua watafutwa kuungwa mkono katika sera na elewa kampeni zimeisha.Ukiendeleza kampeni ni ishara ya kukataa kushindwa na kutokubaliana na wale waliopewa ridhaa toka kwa wananchi,na ndio mwanzo wa vurugu.
 
Back
Top Bottom