Hizi ndizo kauli za wasichana wanaobishana sokoni kuhusu mvulana yupi ni mzuri. Na ccm imeishaujua ujinga wa watanzania na ndio maana inawatongoza na inapowapata inawatumia ipasavyo.
Ccm inawahadaa watanzania mithili ya mvulana anayemtafuta msichana!!! Inawatongoza kwa vitisheti vya njano na vikofia vya kijani; Inawapa lifti; inawalisha wali kuku; inawatumbuiza kwa taarabu; inawaahidi maisha bora na kisha inawahonga elfu tano!! Kwa ulaini wananchi wanakubali kufanya mapenzi na ccm. Wanapewa mimba. Wanazaa ufukara na kisha ccm inawatelekeza kwa maisha duni!
Nionavyo mimi: Watanzania wakiteseka na mazingaombwe ya ugumu wa maisha ni sawa tu!! Ni haki yao!! Waendelee tu kutaabika kwa kuwa dhiki, mahangaiko na ufukara wanavitaka wenyewe!!
Kumbuka chadema inaitaji ushindi wa 80% kuchukua nchi wakati CCM inaitaji 30% tu. Yani chadema bado sana
ukosefu wa semina na makongamano ya kutatua na kushugulikia changamoto za kielimu na kubadilishana uzoefu
nilifikiri hujaelewa kumbe ulishaelewa tayari