Unajua kuna kitu watu hawajajua bado na wanaamini vyengine. Ukweli utawaweka huru.
Zisome vizuri zile kauli za jumuiya za kimataifa. Utaona kuwa Jumuiya zote zinaitambua serikali ya JPM mpya. Hakuna budi wapinzani nao wakaitambua tu, maana huko ICC hamna kitu nimetoka kutembelea website yao kuona kama kuna habari ya shauri kutoka TZ hamna kitu.
Mabeberu hawajawahi kusaidia wananchi ikiwa wananchi wenyewe wamekaa ndani tu badala ya kutoka nje kupambana damu ikamwagika. Hio kafara lazima iwepo ndio hawa jamaa wajue kuwa watu wapo serious na mabadiliko. Mkaambiwa na viongozi wenu maandamano kila mtu kakaa ndani. Nimegundua kuwa wenzetu upande wa pili wamekuwa wakitegemea damu za Wazanzibari zimwagike ndio wapate ukombozi wao, watu huku wakapambana na askari mwishowe wakauliwe, wakatekwa na kuteswa lakini upande wa pili wapinzani wapo JF wakisikiliza mshindo tu.
Zisome vizuri zile kauli za jumuiya za kimataifa. Utaona kuwa Jumuiya zote zinaitambua serikali ya JPM mpya. Hakuna budi wapinzani nao wakaitambua tu, maana huko ICC hamna kitu nimetoka kutembelea website yao kuona kama kuna habari ya shauri kutoka TZ hamna kitu.
Mabeberu hawajawahi kusaidia wananchi ikiwa wananchi wenyewe wamekaa ndani tu badala ya kutoka nje kupambana damu ikamwagika. Hio kafara lazima iwepo ndio hawa jamaa wajue kuwa watu wapo serious na mabadiliko. Mkaambiwa na viongozi wenu maandamano kila mtu kakaa ndani. Nimegundua kuwa wenzetu upande wa pili wamekuwa wakitegemea damu za Wazanzibari zimwagike ndio wapate ukombozi wao, watu huku wakapambana na askari mwishowe wakauliwe, wakatekwa na kuteswa lakini upande wa pili wapinzani wapo JF wakisikiliza mshindo tu.