Nadhani CHADEMA imetumia busara kubwa hadi kuwaruhusu wabunge wa upinzani. CHADEMA wametumia akili kubwa. Kwa sitiation iliyopo, muingie bungeni ama msiingie bungeni kila kitu kitaendelea kama kawaida. Mkiwa na msemaji mmoja tu bungeni anaweza kubadilisha upepo ambavyo isivyotarajiwa. Ingawa Mataga wanaweza kuona kwamba CHADEMA wamejimaliza ukweli ni kwamba chadema imepata pumzi mpya. Wamepata uwanja wa kuongelea...wamepata uwanja wa kusikaka midomoni mwa watu.
Sasa wawakilishi wachache waliopo bungeni wanaenda kutikisa bunge. Wanaenda kusikika kitaifa na kimataifa.
Mapambano ni mbinu. Na wakati mwingine mbinu zinaweza kuonekana za kijinga lakini ndizo zinazoleta mageuzi. Vuteni subira muone.
Sasa wawakilishi wachache waliopo bungeni wanaenda kutikisa bunge. Wanaenda kusikika kitaifa na kimataifa.
Mapambano ni mbinu. Na wakati mwingine mbinu zinaweza kuonekana za kijinga lakini ndizo zinazoleta mageuzi. Vuteni subira muone.