CHADEMA baada ya miaka 28 hatimaye leo imekufa rasmi

Nadhani CHADEMA imetumia busara kubwa hadi kuwaruhusu wabunge wa upinzani. CHADEMA wametumia akili kubwa. Kwa sitiation iliyopo, muingie bungeni ama msiingie bungeni kila kitu kitaendelea kama kawaida. Mkiwa na msemaji mmoja tu bungeni anaweza kubadilisha upepo ambavyo isivyotarajiwa. Ingawa Mataga wanaweza kuona kwamba CHADEMA wamejimaliza ukweli ni kwamba chadema imepata pumzi mpya. Wamepata uwanja wa kuongelea...wamepata uwanja wa kusikaka midomoni mwa watu.

Sasa wawakilishi wachache waliopo bungeni wanaenda kutikisa bunge. Wanaenda kusikika kitaifa na kimataifa.

Mapambano ni mbinu. Na wakati mwingine mbinu zinaweza kuonekana za kijinga lakini ndizo zinazoleta mageuzi. Vuteni subira muone.
 
Hivi huku JF msalani ni wapi? Nimekula mafenesi basi nikichanganya na yanayojiri nchini tumbo linavuruga sana.
 
Mkuu uko kama miye. Na mijitu mingine mpaka inauliwa ikiwa mbele kwenye maandamano. Ukiiuliza unapigania nini hasa hata haijui. Halafu kesho na kesho kutwa hao hao unaowapigania mpaka kuhatarisha maisha yako unawakuta wako pamoja wanafakamia keki ya taifa. Utopolo mtupu na kamwe sitakaa nishabikie mwanasiasa !
Siyo wanapenda. Wanaahidiwa chochote kitu na wakubwa wao huko ubelgiji. Njaa inawatesa, hadi wanajitoa muhanga.
 
Jiite wewe kwanza mpumbavu acheni ushabiki
Wewe ni mpumbavu kama Meko. Meko alichakachua kura akaiba mpaka visivyoibika. Matokeo yake baada ya kukosa wapinzani bungeni anarudi tena kuchakachua ili wapatikane wabunge wa upinzani. Hiyo kweli ni akili? Upumbavu wa kiwango cha juu kabisa.
 
Hata ungekuwa ni ww ungeenda tu
Kwa kuwa hunijui sitakulau. Ni kweli, ni watu wengi hawawezi kukataa ulaji kama huu. Lakini siyo mimi! Katu! Yaani niwe nimefanyiwa kama huyo dada aliyekaa rumande muda wote bila kosa halafu nije nitupiwe ''nyama'' kama mbwa ili kunipoza? Au niwe nimefanyiwa kama Halima Mdee, kura ziporwe kwa nguvu mchana kweupe halafu nije nitupiwe posho kama mbwa? Au kiongozi wangu niliyeshirikiana naye kupambana apigwe risasi kwa lengo la kuuawa kama Lissu halafu nije nitupiwe bakshishi nimsaliti? Du... acha nife na umaskini wangu kama ambavyo siwezi kuua ili nipate fedha.
 
Kwa kuwa hunijui sitakulau. Ni kweli, ni watu wengi hawawezi kukataa ulaji kama huu. Lakini siyo mimi! Katu! Yaani niwe nimefanyiwa kama huyo dada aliyekaa rumande muda wote bila kosa halafu nije nitupiwe ''nyama'' kama mbwa ili kunipoza? Au niwe nimefanyiwa kama Halima Mdee, kura ziporwe kwa nguvu mchana kweupe halafu nije nitupiwe posho kama mbwa? Au kiongozi wangu niliyeshirikiana naye kupambana apigwe risasi kwa lengo la kuuawa kama Lissu halafu nije nitupiwe bakshishi nimsaliti? Du... acha nife na umaskini wangu kama ambavyo siwezi kuua ili nipate fedha.
Sasa ukikaa tu home ndio chama kinakufa

Coz the way nimekuelewa ni kwamba wao wasingekwenda then sijui kama umewaza chama kingejiendesha vip?

Ww Leo tukikwambia changia mafuta Lita 1000 ya magari ya chama utatoa?
 
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea.Watu wamefungwa gerezani,kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa.Ina maana hawa wabunge wa CDM walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!!,Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki
Pole hiyo imeshapita! Tugange yajayo. Mlipoambiwa upinzani unakufa 2020 mlikataa sasa naona akili zimeshawarudia. Poleni
 
Kwa kuwa hunijui sitakulau. Ni kweli, ni watu wengi hawawezi kukataa ulaji kama huu. Lakini siyo mimi! Katu! Yaani niwe nimefanyiwa kama huyo dada aliyekaa rumande muda wote bila kosa halafu nije nitupiwe ''nyama'' kama mbwa ili kunipoza? Au niwe nimefanyiwa kama Halima Mdee, kura ziporwe kwa nguvu mchana kweupe halafu nije nitupiwe posho kama mbwa? Au kiongozi wangu niliyeshirikiana naye kupambana apigwe risasi kwa lengo la kuuawa kama Lissu halafu nije nitupiwe bakshishi nimsaliti? Du... acha nife na umaskini wangu kama ambavyo siwezi kuua ili nipate fedha.
Una nini maskini wa kutupwa!
 
Mkuu uko kama miye. Na mijitu mingine mpaka inauliwa ikiwa mbele kwenye maandamano. Ukiiuliza unapigania nini hasa hata haijui. Halafu kesho na kesho kutwa hao hao unaowapigania mpaka kuhatarisha maisha yako unawakuta wako pamoja wanafakamia keki ya taifa. Utopolo mtupu na kamwe sitakaa nishabikie mwanasiasa !
Pole mkuu!
 
Wapinzani wachumia tumbo ndo wamejaa Tanzania, mpinzani wa kweli ni maalim self tu
 
Hivi huwa mnashabikia nini kwenye siasa mbona Mimi huo mzuka sinaga yani kama vile mpira
Mkuu SIASA nimaisha.Usiposhabikia SIASA basi tambua unaishi ndani ya SIASA!
Kwanzia Uongozi, utamaduni hata biashara
Sheria ambazo zinaongoza muongozo wa namna ya kuendesha maisha basi tambua imetokana na SIASA
 
Nakubali mkuu hatimae CHADEMA imekufa sasa mimi inaniuma sana hel yangu niliwachangia aisee.Si wangewaaacha tu CCM waendeshe nchi wenyewe bureee kabisa
 
Nadhani CHADEMA imetumia busara kubwa hadi kuwaruhusu wabunge wa upinzani. CHADEMA wametumia akili kubwa. Kwa sitiation iliyopo, muingie bungeni ama msiingie bungeni kila kitu kitaendelea kama kawaida. Mkiwa na msemaji mmoja tu bungeni anaweza kubadilisha upepo ambavyo isivyotarajiwa. Ingawa Mataga wanaweza kuona kwamba CHADEMA wamejimaliza ukweli ni kwamba chadema imepata pumzi mpya. Wamepata uwanja wa kuongelea...wamepata uwanja wa kusikaka midomoni mwa watu.

Sasa wawakilishi wachache waliopo bungeni wanaenda kutikisa bunge. Wanaenda kusikika kitaifa na kimataifa.

Mapambano ni mbinu. Na wakati mwingine mbinu zinaweza kuonekana za kijinga lakini ndizo zinazoleta mageuzi. Vuteni subira muone.
Mmmh acha ww njaa ndiozimewasukuma mabadiliko yapokwemioyo yawatu yn hatawangesema kilamwezi wanachama wakichangie chamachao wangetoa kuliko huu utopolo waliufanya
 
Back
Top Bottom