ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
Waliokutuma kawambie CHADEMA wamekataaMku kwani ukiwaondolea uanachama siwatakwenda Mahakamani na watabaki wabunge hadi hiyo miaka 5 iishe. Hilo la kuondolewa uanachama walishapiga mahesabu yake wakapata majibu. Kwani kina Waitara,Katambi na wengine walivyotoka CHADEMA siwalikwenda kwenye vyama vingine? Tuwapotezee tu ili mradi ruzuku ya hao wabunge 19 inaingia CHADEMA sisi tutulie.