CHADEMA baada ya miaka 28 hatimaye leo imekufa rasmi

CHADEMA baada ya miaka 28 hatimaye leo imekufa rasmi

Faida yake ni nini?
Kuondoa ubabaishaji wa viongozi was upinzani
Wengi wamekaa kimaslahi zaidi wakijifanya wanawatetea watanzania
Imefika wakati ujengwe upinzani was kweli wenye uchungu na watanzania
Magu amekaa kwenye system kea miaka mingi anajua madudu yote ya wapinzani Hawa wababaishaji
 
Waambie wanadhani mchezo, siasa ni sayansi siyo mihemuko ya kishamba.
Game nyie hamliwezi, subiri huyo Mnyika wako kama ataropoka, na huyo Mbowe kama atajishebedua. Ukitaka kuona uzalendo ona jinsi halima alivyojielezea kwa adabu na heshima. Tulishawaambia muheshimu mamlaka, tufanye siasa za staha nyie mnataka kufanya siasa za ugomvi, kikubwa viongozi wenu wameelewa nyie nyumbu mtaelewa tu
 
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki
Imeku
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki
imekufa yakokoyoo! shuveeee.
sasa kama wewe na meko mnaamini kuwa imekufa, basi wekeni tume huru then itisheni uchaguzi. hata wa diwani tu hakafu mtaona upepo ulivyo.
yani unachokiongea ni pumba . una akili fupi sana
 
haya yote alikuwa anayataka Mwenyekiti Mbowe, tulisha msihi kuwa chama kitamwifia mikononi wapi umwamba ukazidi zaidi....sasa yametimia
 
In one way or another siasa ni part kubwa sana maishani mwako. Ukitaka kushiriki ni juu yako lakini hata ulisema hushabikii itakugusa tu.

You can not run away from politics.
Wazungu wana kamsemo chao kwamba ukishindwa kuchagua utachaguliwa na wengine na kwamba kiongozi mbaya huchaguliwa na watu werevu wengi ambao hawapigi kura wala kujishughulisha na siasa hvyo kwa namna moja au nyingine werevu hujikuta wanaongozwa na mjinga wasiye mtegemea.Siasa = Maisha.
 
Mdee, Bulaya na Matiko ..walikuwa nguzo muhimu sana kwa chadema, kwa kuwa Mwenyekiti Mbowe naye alibariki mpango mzima naye ajadiliwe kwenye kamati kuu,
ushauri kwa mwenyekiti Mbowe ni bora akajiuzulu kwa fedheha hii iliyojitokeza kwa chama kuliko kukaa na yeye kujifanya eti anashangaa,
 
Hakuna kura iliyoibiwa, mliingia kwenye uchaguzi kichwa kichwa mlidhani ni mchezo, mkaja na sera za ushoga mlidhani watanzania wana akili mbovu kama zenu ! Tuliamuwa kuwachijilia mbali kwenye sanduku la kura. Sasa hivi mnaweweseka tu hakuna kitakachobailika.
Kama mngekuwa mnaitaka wasengewatumia Tiss kupora kura.
 
Mkakati wa dikteta initialy unafaulu but in a long time ataumbuka
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki
 
Nadhani CHADEMA imetumia busara kubwa hadi kuwaruhusu wabunge wa upinzani. CHADEMA wametumia akili kubwa. Kwa sitiation iliyopo, muingie bungeni ama msiingie bungeni kila kitu kitaendelea kama kawaida. Mkiwa na msemaji mmoja tu bungeni anaweza kubadilisha upepo ambavyo isivyotarajiwa. Ingawa Mataga wanaweza kuona kwamba CHADEMA wamejimaliza ukweli ni kwamba chadema imepata pumzi mpya. Wamepata uwanja wa kuongelea...wamepata uwanja wa kusikaka midomoni mwa watu.

Sasa wawakilishi wachache waliopo bungeni wanaenda kutikisa bunge. Wanaenda kusikika kitaifa na kimataifa.

Mapambano ni mbinu. Na wakati mwingine mbinu zinaweza kuonekana za kijinga lakini ndizo zinazoleta mageuzi. Vuteni subira muone.

SWALI LA MSINGI: Wamepata ubunge huo kwa nguvu ya nani? Obviously sio kwa kura za wananchi. Hapo hakuna cha pumzi mpya wala uwanja wa kuongelea. Bali mchakato wa kuihasi CHADEMA ndio unaanza rasmi. Fact is: who pays the piper calls the tune.
 
Hakuna kura iliyoibiwa, mliingia kwenye uchaguzi kichwa kichwa mlidhani ni mchezo, mkaja na sera za ushoga mlidhani watanzania wana akili mbovu kama zenu ! Tuliamuwa kuwachijilia mbali kwenye sanduku la kura. Sasa hivi mnaweweseka tu hakuna kitakachobailika.

Ule wizi tumeona kwa macho yetu, msijifiche kwa watanzania maana ukweli tunaujua. Katafuteni wajinga ndio muwaambie huo utoto wa eti sera za ushoga. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga mtu mweusi kwenye box la kura fullstop.
 
Sasa ukikaa tu home ndio chama kinakufa

Coz the way nimekuelewa ni kwamba wao wasingekwenda then sijui kama umewaza chama kingejiendesha vip?

Ww Leo tukikwambia changia mafuta Lita 1000 ya magari ya chama utatoa?

Naona uko kazini. Keep up the greatest diable’s work. Siamini kama una ujinga wa kushindwa kuelewa kwamba nguvu kubwa ya CHADEMA ni imani ya watu kwamba ndipo penye upinzani halisi na sahihi.

Imani hiyo ikifa ni bora chama kife kwani hakuna kiasi cha pesa kinachoweza kukiweka hai. Mwenyewe unajua kuwa CCM bila nyenzo za dola hakuna kitu pale. CHADEMA hawana “janja” hiyo ya CCM. I’m sure you ain’t that dumb as to miss the point.
 
Back
Top Bottom