CHADEMA baada ya miaka 28 hatimaye leo imekufa rasmi

CHADEMA baada ya miaka 28 hatimaye leo imekufa rasmi

Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki


Utakufa wewe CDM bado ipo pale pale.
 
Mku kwani ukiwaondolea uanachama siwatakwenda Mahakamani na watabaki wabunge hadi hiyo miaka 5 iishe. Hilo la kuondolewa uanachama walishapiga mahesabu yake wakapata majibu. Kwani kina Waitara,Katambi na wengine walivyotoka CHADEMA siwalikwenda kwenye vyama vingine? Tuwapotezee tu ili mradi ruzuku ya hao wabunge 19 inaingia CHADEMA sisi tutulie.
 
Ule wizi tumeona kwa macho yetu, msijifiche kwa watanzania maana ukweli tunaujua. Katafuteni wajinga ndio muwaambie huo utoto wa eti sera za ushoga. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga mtu mweusi kwenye box la kura fullstop.
Kama mlijua hayo mbona hamkujitoa kama mlivyojitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa? Hayo ni machungu ya kushindwa kihalali.
 
Kama mlijua hayo mbona hamkujitoa kama mlivyojitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa? Hayo ni machungu ya kushindwa kihalali.

Kuna watu walikuwa hawaamini kuwa ccm haina uwezo wa kushinda tena kwa kura za wananchi walio wengi, hivyo tulishiriki ili kuweka upuuzi wenu hadharani, na kwa uhakika somo hilo limewafikia vyema kwenye ule upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Bye bye CHADEMA. Huwezi kuinuka tena maana mzigo wa dhambi zako unakulemea.
Kuna watu walikuwa hawaamini kuwa ccm haina uwezo wa kushinda tena kwa kura za wananchi walio wengi, hivyo tulishiriki ili kuweka upuuzi wenu hadharani, na kwa uhakika somo hilo limewafikia vyema kwenye ule upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Sasa wanamwelewa
MAGUFULI ni mtu muoga sana. Hawezi kushindana kwa hoja.mwaka 1994 yanga chini ya mpondela ilifukuza zaidi ya 80% ya nyota wake wakaja kina Anwar awadh, abdallah msheli sijui maalum saleh romario . Sijawahi Hama yanga so hata haya yatapita wanachadema watabaki
 
MAGUFULI ni mtu muoga sana. Hawezi kushindana kwa hoja.mwaka 1994 yanga chini ya mpondela ilifukuza zaidi ya 80% ya nyota wake wakaja kina Anwar awadh, abdallah msheli sijui maalum saleh romario . Sijawahi Hama yanga so hata haya yatapita wanachadema watabaki

kwa lugh rahisi hamuwezi battle na magufuli kwa sababu wana chadema wengi ni waongeaji ila vitendo ni 0: mfano mliambiwa mjitokeze muandamane, pale ndo ilikua mda mzuri maaana lissu alikua anaangaliwa na mataifa mengi mkagoma sasa mnataka kuwafokea kina halima, hii inaonyesha wanachadema ni waongeaji sana vitendo 0, ndo maaana kampeni zenu zlikua zmejaa mdomo sana kuliko ushawishi, yaaani kampeni nzima unatumia kumsema mtu badala ya kutangaza sera! pathetic
 
Mm mwenyew ningeenda kwa watz gan viaz wa kuwapigania????
 
hivi vyama ni miradi ya watu, pesa kwanza mengine badae
 
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki
Haya yamekuwa yakisemwa tangu 2016.
Endeleeni kuota MATAGA!
 
Nasikia eti wamepewa ulinzi, wanalindwa na usalama wa taifa
Mtasema mengi sana,chama chadema ni chama la wahuni tu,sasa wanaume wameingia wivu kuona wanawake wataendelea kupata pesa zaidi yao wanawapiga mkwara, kwao hiyo ni ajira waiache wafe njaa eti kwa sababu ya Mnyika na Mbowe? lakini wako watu bado mnasingizia serikali na chama cha mapinduzi. Hilo chama limesha gawanyika wao kwa wao baada ya dili zao kubuma sasa wanasuguana,lakini kutwa kucha zuzu wote wanaielekezea lawama CCM. Yaani wabongo ni bure kabisa
 
Hivi huwa mnashabikia nini kwenye siasa mbona mimi huo mzuka sinaga yani kama vile mpira
Unashindwa kula kisa upumbavu wa mtu mwingine?? Hii ishu ikoje??
Yaan ufanye ujinga wako mimi niumie?
Ndio maana hili likaitwa Jukwaa la Siasa,,, kama kwako ni upumbavu chagua Jukwaa linalokufaa kwa maana yako mengi humu JF
 
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki
Utakufa wewe utaiacha
 
Ndio maana hili likaitwa Jukwaa la Siasa,,, kama kwako ni upumbavu chagua Jukwaa linalokufaa kwa maana yako mengi humu JF
Umemjibu vizuri sana kadri ya upumbavu wake.
Anasema hataki siasa huku yupo jukwaa la siasa
 
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "

Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA

Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.

Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana

Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama

Alamsiki
Kima
 
Back
Top Bottom