kivava
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 5,772
- 4,932
Ha haa...we mtupu Sana aka hollowlazima wewe ni Chademalowasaa,unapenda hela sana.
Ha haa...we mtupu Sana aka hollowlazima wewe ni Chademalowasaa,unapenda hela sana.
Wanaotia kichefuchefu ni wale waliojinyea jukwaani kipindi cha kampeni nadhani unawafahamu mkuu.Mnatia kichefu chefu, hao chadema asilia ndo akina nani? Huu ni ujinga
Alifikishwa na NACTE..wapuuzi ni wale walikuwa wanadeki barabara fisadi apite.Upuuzi tu huo naona,Jesca alifikaje UDOM na kusoma degree?
Hayo yote yalikuwa hayafanyiki kwa sababu Mafisadi akini Lowasa kingunge na sumaye walikuwa wanafisidi nchi..kwa miaka hii mitano yote yatafanyika.Miaka hamsini wanafunzi wanakaa chini, miaka hamsini tunaendesha kampeni ya kuchangia madawati? Miaka hamsini tunalia huduma mbovu za afya, ikiwepo kukosa madawa na maji salama? Miaka hamsini hakuna chochote tunachoweza kujivunia km taifa kila kitu tuletewe na kusimaiwa na wazungu, hamjisikii vibaya? hamuoni aibu wapuuzi nyie? Kulalana kwenyewe bado mnafunzwa na wazungu njinsi ya kulalana ili msichubuane na mkaambukizana gono, ovyooo zenu
Umemweza vema.Hayo yote yalikuwa hayafanyiki kwa sababu Mafisadi akini Lowasa kingunge na sumaye walikuwa wanafisidi nchi..kwa miaka hii mitano yote yatafanyika.
Tumbili mkubwa wewe utaacha lini kushikiwa akili, burewewe bila shaka ni nyumbu wa el mlioua cdm asilia. nyumbu wana hasira sana kushindwa kutimia ndota kupata vyeo walivyoahidiwa na el. sasa wamebaki na kiwewe wanatupa ngumi gizani.
Mpuuuzi Wa kiwango naona unaharisha toka uvccm hapo, jinga kweli leta ushahidi Wa hayo mavi km huna funga bakuli lakoWanaotia kichefuchefu ni wale waliojinyea jukwaani kipindi cha kampeni nadhani unawafahamu mkuu.
Acha Kudanganya Watu Bana Mkuu.Njoo ujibu hili swali Mtoto wa Magufuli sijui alifikaje Chuo Kikuu?
kuna chadema masilahi kama mbowe, lowasa, sumae, kingunge, esta bulaya, lembeli, kutaja wachache, na chadema asilia kama mimi, Dr slaa, mnyika, mdee etcMnatia kichefu chefu, hao chadema asilia ndo akina nani? Huu ni ujinga
Huna haya kweli sasa kwann wewe na huyo Slaa msianzishe chama chenu?kuna chadema masilahi kama mbowe, lowasa, sumae, kingunge, esta bulaya, lembeli, kutaja wachache, na chadema asilia kama mimi, Dr slaa, mnyika, mdee etc
teh teh mebata ushungu weeeh nyumbu.Tumbili mkubwa wewe utaacha lini kushikiwa akili, bure
Dogo vipi?fija ujinga wako kwa kuheshimu maoni kuntu.Mpuuuzi Wa kiwango naona unaharisha toka uvccm hapo, jinga kweli leta ushahidi Wa hayo mavi km huna funga bakuli lako
Kessy alisema chadema wana akili ya kuku wa kizungu,wanasahau mapema.Chadema ilihitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na sasa amepatikana ambae ni Tingatinga,sasa Chama kinapinga maamuzi magumu wakati tulibadili gear angani kwaajili ya kutaka mtu mwenye maamuzi magumu.Mbowe leo anatetea ufisadi lau kama Slaa angekuwepo Chadema wasingemaliza, lazima kingenuka.
kilaza mkubwa ktk ubora wake, sasa kati yangu nawe nani mjinga? eti maoni kuntu, umejivua nguoDogo vipi?fija ujinga wako kwa kuheshimu maoni kuntu.
Wote wanaomkataa Lowassa, ingali bado wapo CDM ni asilia.....kwa sasa wameamua kuwa kimya.Mnatia kichefu chefu, hao chadema asilia ndo akina nani? Huu ni ujinga
Hivi wataalamu wa ufipa wakiongozwa na comrade Mbooowe bado wamepanga kule ufipa? 24yrs na bado wamepanga, then wanaleta propaganda za maendeleo?
mag3
Wewe endelea kukata maunoWote wanaomkataa Lowassa, ingali bado wapo CDM ni asilia.....kwa sasa wameamua kuwa kimya.