CHADEMA asilia tunakukumbuka sana Dr. Slaa

Gangongine

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
3,854
1,776
Ingawa wakubwa wetu waliamua kukusaliti kwa tamaa zao, ukweli ni kwamba pengo Lako wameshindwa kujaza mpaka sasa. Cha Ajabu sasa ni kwamba hakuna utaratibu unaoeleweka wa kuzungumzia mambo ya Chama. Chama kinaongozwa na matamko ya Viongozi hasa Yule uliyetuasa tusimpokee. Bungeni tunaendelea na ule utoto wa kuzomea na kupiga kelele Kama walevi na sasa hatuna tena hoja za msingi za kuibana Serikali! Hakika tuna hali mbaya hasa Baada ya kuikana Sera yetu ya kupinga Ufisadi na kutetea Rasilimali za Umma. Tunaona aibu kukuomba msamaha maana tulikukashifu kwa majina ya kipuuzi tukijawa kiburi kwa kuaminishwa kwamba uliyemkataa atatupeleka IKULU saa 2 asubuhi tarehe 25 Oktoba, 2015 lakini haikuwa hivyo. Hakika Wafiachama hatutakusau Kamwe
 
Ingawa wakubwa wetu waliamua kukusaliti kwa tamaa zao, ukweli ni kwamba pengo Lako wameshindwa kujaza mpaka sasa. Cha Ajabu sasa ni kwamba hakuna utaratibu unaoeleweka wa kuzungumzia mambo ya Chama. Chama kinaongozwa na matamko ya Viongozi hasa Yule uliyetuasa tusimpokee. Bungeni tunaendelea na ule utoto wa kuzomea na kupiga kelele Kama walevi na sasa hatuna tena hoja za msingi za kuibana Serikali! Hakika tuna hali mbaya hasa Baada ya kuikana Sera yetu ya kupinga Ufisadi na kutetea Rasilimali za Umma. Tunaona aibu kukuomba msamaha maana tulikukashifu kwa majina ya kipuuzi tukijawa kiburi kwa kuaminishwa kwamba uliyemkataa atatupeleka IKULU saa 2 asubuhi tarehe 25 Oktoba, 2015 lakini haikuwa hivyo. Hakika Wafiachama hatutakusau Kamwe
Upuuzi umekujaa
 
kamanda asante kwa kutukumbusha walau watu makini na wenye weledi na maadili katika nchi hii. chadema sasa inaelekea kupasuka vipande vipande na haina ajenda inayoisimamia na haitapatikana tena .
 
Toka bunge linaanza hakuna hata mmbunge mmoja wa UKAWA alietamuka neno ufisadi, Hongera Lowasa.

Umewafanya maadui zako wakusujudu.
 
Toka bunge linaanza hakuna hata mmbunge mmoja wa UKAWA alietamuka neno ufisadi, Hongera Lowasa.

Umewafanya maadui zako wakusujudu.
Halima mdee na Jesca kishoa wameelezea u fisadi wa mwakyembe kuhusu mabehewa feki
 
Dk. Slaa atakumbukwa daima katika uwanja wa siasa nchini.

Kazi ya kujenga nchi katika msingi wa usawa, utambuzi wa haki na wajibu ambayo aliifanya ni kubwa.
 
Toka bunge linaanza hakuna hata mmbunge mmoja wa UKAWA alietamuka neno ufisadi, Hongera Lowasa.

Umewafanya maadui zako wakusujudu.
Kubenea aliteleza alianza kuzungumzia escrow mara akagundua atamgusa mzee na richmond. akaona apeleke hoja ya shanga na vyupi. ujuha gani huu. naamini Kubenea angekuja chadema wakati Dr Slaa yupo! angepikwa kwanza kabla ya kwenda kuropoka ropoka bungeni
 
Toka bunge linaanza hakuna hata mmbunge mmoja wa UKAWA alietamuka neno ufisadi, Hongera Lowasa.

Umewafanya maadui zako wakusujudu.
Kwahiyo ufisadi wa mabehewa feki alio husishwa nao Mwakyembe alikuwa anapongezwa na Kishoa?
 
Ingawa wakubwa wetu waliamua kukusaliti kwa tamaa zao, ukweli ni kwamba pengo Lako wameshindwa kujaza mpaka sasa. Cha Ajabu sasa ni kwamba hakuna utaratibu unaoeleweka wa kuzungumzia mambo ya Chama. Chama kinaongozwa na matamko ya Viongozi hasa Yule uliyetuasa tusimpokee. Bungeni tunaendelea na ule utoto wa kuzomea na kupiga kelele Kama walevi na sasa hatuna tena hoja za msingi za kuibana Serikali! Hakika tuna hali mbaya hasa Baada ya kuikana Sera yetu ya kupinga Ufisadi na kutetea Rasilimali za Umma. Tunaona aibu kukuomba msamaha maana tulikukashifu kwa majina ya kipuuzi tukijawa kiburi kwa kuaminishwa kwamba uliyemkataa atatupeleka IKULU saa 2 asubuhi tarehe 25 Oktoba, 2015 lakini haikuwa hivyo. Hakika Wafiachama hatutakusau Kamwe
Walaumu akina Membe, Mwakyembe, Nape na Makonda ambao walitumika kumrubuni kisha akanunuliwa na kuwasariti ukawa.
 
Kubenea aliteleza alianza kuzungumzia escrow mara akagundua atamgusa mzee na richmond. akaona apeleke hoja ya shanga na vyupi. ujuha gani huu. naamini Kubenea angekuja chadema wakati Dr Slaa yupo! angepikwa kwanza kabla ya kwenda kuropoka ropoka bungeni
Richmond ni ya Kikwete pia escrow Lowasa na hizo dili havina uhusiano.
 
Toka bunge linaanza hakuna hata mmbunge mmoja wa UKAWA alietamuka neno ufisadi, Hongera Lowasa.

Umewafanya maadui zako wakusujudu.
Mabilion ya marehemu Gadafi toka bank ya nyumbani kwa Membe ndiyo yalitumika kumnunua Dr Slaa madalali wa mchongo wote walikuwa Nape na Makonda huku Mwakyembe akiwa mshauri mkuu.
 
Ingawa wakubwa wetu waliamua kukusaliti kwa tamaa zao, ukweli ni kwamba pengo Lako wameshindwa kujaza mpaka sasa. Cha Ajabu sasa ni kwamba hakuna utaratibu unaoeleweka wa kuzungumzia mambo ya Chama. Chama kinaongozwa na matamko ya Viongozi hasa Yule uliyetuasa tusimpokee. Bungeni tunaendelea na ule utoto wa kuzomea na kupiga kelele Kama walevi na sasa hatuna tena hoja za msingi za kuibana Serikali! Hakika tuna hali mbaya hasa Baada ya kuikana Sera yetu ya kupinga Ufisadi na kutetea Rasilimali za Umma. Tunaona aibu kukuomba msamaha maana tulikukashifu kwa majina ya kipuuzi tukijawa kiburi kwa kuaminishwa kwamba uliyemkataa atatupeleka IKULU saa 2 asubuhi tarehe 25 Oktoba, 2015 lakini haikuwa hivyo. Hakika Wafiachama hatutakusau Kamwe

Nyie Chama Cha Mizuka mna matatizo sana
 
Ingawa wakubwa wetu waliamua kukusaliti kwa tamaa zao, ukweli ni kwamba pengo Lako wameshindwa kujaza mpaka sasa. Cha Ajabu sasa ni kwamba hakuna utaratibu unaoeleweka wa kuzungumzia mambo ya Chama. Chama kinaongozwa na matamko ya Viongozi hasa Yule uliyetuasa tusimpokee. Bungeni tunaendelea na ule utoto wa kuzomea na kupiga kelele Kama walevi na sasa hatuna tena hoja za msingi za kuibana Serikali! Hakika tuna hali mbaya hasa Baada ya kuikana Sera yetu ya kupinga Ufisadi na kutetea Rasilimali za Umma. Tunaona aibu kukuomba msamaha maana tulikukashifu kwa majina ya kipuuzi tukijawa kiburi kwa kuaminishwa kwamba uliyemkataa atatupeleka IKULU saa 2 asubuhi tarehe 25 Oktoba, 2015 lakini haikuwa hivyo. Hakika Wafiachama hatutakusau Kamwe
Nenda kacheze taarabu asilia
 
Ingawa wakubwa wetu waliamua kukusaliti kwa tamaa zao, ukweli ni kwamba pengo Lako wameshindwa kujaza mpaka sasa. Cha Ajabu sasa ni kwamba hakuna utaratibu unaoeleweka wa kuzungumzia mambo ya Chama. Chama kinaongozwa na matamko ya Viongozi hasa Yule uliyetuasa tusimpokee. Bungeni tunaendelea na ule utoto wa kuzomea na kupiga kelele Kama walevi na sasa hatuna tena hoja za msingi za kuibana Serikali! Hakika tuna hali mbaya hasa Baada ya kuikana Sera yetu ya kupinga Ufisadi na kutetea Rasilimali za Umma. Tunaona aibu kukuomba msamaha maana tulikukashifu kwa majina ya kipuuzi tukijawa kiburi kwa kuaminishwa kwamba uliyemkataa atatupeleka IKULU saa 2 asubuhi tarehe 25 Oktoba, 2015 lakini haikuwa hivyo. Hakika Wafiachama hatutakusau Kamwe
Cdm Morden ndio tunapasua anga na kuongeza wabunge lukuki
 
Back
Top Bottom