CHADEMA asilia tunakukumbuka sana Dr. Slaa

CHADEMA asilia tunakukumbuka sana Dr. Slaa

Miaka hamsini mnaendesha kampeni ya madawati si utani huu? Akili yako imeganda mikoa thelathin na ushee wote watajazana Hosp moja? Vipi kuhusu maji salama? Ndio maana huwa nasema Mungu alikuja kwa kwa sababu ya wazungu,
Mkuu kujenga nchi kazi,mwenyewe si umeona hata Chadema miaka 24 bado wamepanga kwenye nyumba ya kuishi?
 
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji372][emoji372][emoji90][emoji372]
[emoji90][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji90][emoji90][emoji90]
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji372][emoji372][emoji90][emoji372]
[emoji90][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372]
[emoji90][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372]
 
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji372][emoji372][emoji90][emoji372]
[emoji90][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji90][emoji90][emoji90]
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji372][emoji372][emoji90][emoji372]
[emoji90][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372]
[emoji90][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372][emoji372]
Nini hii
 
Buku Saba unatufundisha?
Haya kakojoe ulale
 
Miaka hamsini wanafunzi wanakaa chini, miaka hamsini tunaendesha kampeni ya kuchangia madawati? Miaka hamsini tunalia huduma mbovu za afya, ikiwepo kukosa madawa na maji salama? Miaka hamsini hakuna chochote tunachoweza kujivunia km taifa kila kitu tuletewe na kusimaiwa na wazungu, hamjisikii vibaya? hamuoni aibu wapuuzi nyie? Kulalana kwenyewe bado mnafunzwa na wazungu njinsi ya kulalana ili msichubuane na mkaambukizana gono, ovyooo zenu
Wacha kulalamika sista...kama vipi hamia Mogadishu- Somalia
 
Kun
Miaka hamsini wanafunzi wanakaa chini, miaka hamsini tunaendesha kampeni ya kuchangia madawati? Miaka hamsini tunalia huduma mbovu za afya, ikiwepo kukosa madawa na maji salama? Miaka hamsini hakuna chochote tunachoweza kujivunia km taifa kila kitu tuletewe na kusimaiwa na wazungu, hamjisikii vibaya? hamuoni aibu wapuuzi nyie? Kulalana kwenyewe bado mnafunzwa na wazungu njinsi ya kulalana ili msichubuane na mkaambukizana gono, ovyooo zenu
Kuna watu wanatakiwa watueleze ni kwanini kwa miaka yote hamsini tumekwama. Na ikibidi kila mmoja atueleze alikuwa na mchango gani katika kuhakikisha tunaopoka matopeni. Lakini pia Kingunge, Sumaye na Lowasa wanaweza kuwa wa mwanzo kuanza kutueleza kwa sababu wao tayari hawako katika minyororo ya CCM.
 
Wa
kama umeikimbia kule ruksa kukutwanga hapa. JIBU JESCA KAFIKAJE UDOM
Nyie wadada punguzeni basi kumwandama mwanamke mwenzenu. Najua hakuna mwanaume makini atakalia kutwa nzima kumzodoa mtoto wa kike.
 
wakati wa utawala wa awamu ya nne Tundu Lissu alipiga kelele sana kuhusu majaji feki akisema majaji wengine hawawezi kuandika hukumu kwa lugha ya kiingereza, wengine hawakidhi vigezo vya elimu leo hii vilaza wametimuliwa chadema wanapiga kelele wanasahau hao vilaza ndio wanakuja kuwa majaji feki ni kweli chadema wamepokeza mwelekeo
 
Mbona sijasikia maafa ya kukosa sukari dogo?Tatizo ndio hili la chademalowassa mna mambo mia na hamsimamii hoja.
jamaa unatia huruma wewe hutak kuachia hata ubongo wako ufanye kazi...kwa kipato kipi cha mtanzania wa chini kuweza kununua sukari kilo 4000! tena hata haipatikani hiyo...na mimi sisimulii nipo kijijini na hali hii naishuhudia kwa macho yangu.
 
Uchadema halisia unatusaidia nini sisi watanzania? Sukari haijulikani lini itaanza kupatikana, hali ngumu kila kunapokucha nyie mmekalia upumbavua tu na wewe ukiwa kiongozi wao, acheni utahira
wewe bila shaka ni nyumbu wa el mlioua cdm asilia. nyumbu wana hasira sana kushindwa kutimia ndota kupata vyeo walivyoahidiwa na el. sasa wamebaki na kiwewe wanatupa ngumi gizani.
 
Igwe wanaJF!

Nimelazimika kukueleza Mbowe aina ya siasa unazofanya kwa sasa umewapoteza wanachadema asilia.Kwa sasa kundi la 4U ndilo linafurahia kwa sababu umekubali kugeuka jiwe.

Wewe kama KUB umeshindwa kuja na kusimamia hoja mbadala ni kama umekubaliana na yote yaliyoletwa na CCM na sasa umeshika ajenda moja ya "udikteta" na kulaumu Raisi "hafuati sheria" kwa mambo ambayo mlilaumu kuwa JK hafanyi.Kundi kubwa la Chademalowassa kwa sasa limejikita kumaifia JK kuwa alikuwa kiongozi bora kama njia ya kukumbuka kuwa walinufaika na rasilimali za nchi kiholela ila kwa sasa wamebanwa.

Mbowe na uongozi mzima wa Chadema mmeweka rehani msimamo wa chama na kujikita na upuuzi.Mmewekeza mabilioni kufanya propaganda na kulipana posho nene huku mkiacha kuweka misingi ya Chama hasa kuimarisha ofisi na kujenga itikadi.

Mtachoka muda si mrefu na umma umeshawachoka.

Nawasilisha.

Mambo ya Msingi yapi ?Sasa mtaeleweka why mlizima hoja ya Nasari
 
Back
Top Bottom