twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,796
Ukiona bungeni wanaazima mchezaji kutoka timu nyingine jua hali ni mbaya..
Usajili wa Zitto ni kiashiria cha kukosa watu wa kusaidiana na Tundulisu kujenga hoja...hivi Tundulisu kusaidiana na Kubenea unaona ilikuwa inaingia akilini?
CHADEMA watamkumbuka sana Dr. Slaa...
Usajili wa Zitto ni kiashiria cha kukosa watu wa kusaidiana na Tundulisu kujenga hoja...hivi Tundulisu kusaidiana na Kubenea unaona ilikuwa inaingia akilini?
CHADEMA watamkumbuka sana Dr. Slaa...