CHADEMA asilia tunakukumbuka sana Dr. Slaa

CHADEMA asilia tunakukumbuka sana Dr. Slaa

mbowe amewalazimisha wabunge wa chadema wasusie bunge kwa maagizo kutoka kwa lowasa
 
Kwa sasa ndani ya chadema kuna Wanalowassa na Wanachadema...na kuna wana wachadema wanaomkubali Lowassa hawa ni Chademalowassa.Siku Lowassa akikasirishwa wao wanamfuata.
Waambie watafute chama kwan lazima wawepo chadema? Waambie waache ujinga km wameshindwa kufanya siasa wamfuate Dr mihogo huko Canada, tuna matatizo lykuki wao wanawaza ujinga tu
 
Kwa sasa ndani ya chadema kuna Wanalowassa na Wanachadema...na kuna wana wachadema wanaomkubali Lowassa hawa ni Chademalowassa.Siku Lowassa akikasirishwa wao wanamfuata.

chichiem kuna team jk na team dikteta
 
Waambie watafute chama kwan lazima wawepo chadema? Waambie waache ujinga km wameshindwa kufanya siasa wamfuate Dr mihogo huko Canada, tuna matatizo lykuki wao wanawaza ujinga tu
Mkuu katika chama kila mtu ana haki japo Chadema asilia wananyanyaswa sana.
 
Mkuu katika chama kila mtu ana haki japo Chadema asilia wananyanyaswa sana.
Uchadema halisia unatusaidia nini sisi watanzania? Sukari haijulikani lini itaanza kupatikana, hali ngumu kila kunapokucha nyie mmekalia upumbavua tu na wewe ukiwa kiongozi wao, acheni utahira
 
Chadema asili ni wale wanaofuata itikadi asili ya kupinga ufisadi, siyo hawa wakimbizi waliotoka ccm
Miaka hamsini wanafunzi wanakaa chini, miaka hamsini tunaendesha kampeni ya kuchangia madawati? Miaka hamsini tunalia huduma mbovu za afya, ikiwepo kukosa madawa na maji salama? Miaka hamsini hakuna chochote tunachoweza kujivunia km taifa kila kitu tuletewe na kusimaiwa na wazungu, hamjisikii vibaya? hamuoni aibu wapuuzi nyie? Kulalana kwenyewe bado mnafunzwa na wazungu njinsi ya kulalana ili msichubuane na mkaambukizana gono, ovyooo zenu
 
Uchadema halisia unatusaidia nini sisi watanzania? Sukari haijulikani lini itaanza kupatikana, hali ngumu kila kunapokucha nyie mmekalia upumbavua tu na wewe ukiwa kiongozi wao, acheni utahira
Uchadema halisia unatusaidia nini sisi watanzania? Sukari haijulikani lini itaanza kupatikana, hali ngumu kila kunapokucha nyie mmekalia upumbavua tu na wewe ukiwa kiongozi wao, acheni utahira
Mbona sijasikia maafa ya kukosa sukari dogo?Tatizo ndio hili la chademalowassa mna mambo mia na hamsimamii hoja.
 
Miaka hamsini wanafunzi wanakaa chini, miaka hamsini tunaendesha kampeni ya kuchangia madawati? Miaka hamsini tunalia huduma mbovu za afya, ikiwepo kukosa madawa na maji salama? Miaka hamsini hakuna chochote tunachoweza kujivunia km taifa kila kitu tuletewe na kusimaiwa na wazungu, hamjisikii vibaya? hamuoni aibu wapuuzi nyie? Kulalana kwenyewe bado mnafunzwa na wazungu njinsi ya kulalana ili msichubuane na mkaambukizana gono, ovyooo zenu
Sio kweli muulize Lowasa na Sumaye kwa sasa wanapata matibabu Muhimbili.
 
Sio kweli muulize Lowasa na Sumaye kwa sasa wanapata matibabu Muhimbili.
Miaka hamsini mnaendesha kampeni ya madawati si utani huu? Akili yako imeganda mikoa thelathin na ushee wote watajazana Hosp moja? Vipi kuhusu maji salama? Ndio maana huwa nasema Mungu alikuja kwa kwa sababu ya wazungu,
 
Back
Top Bottom