Wewe ni Premium member unayeandika hivi?? Unaboa sana. Lakini sishangai, ndo mlivyo CDM
This kind of Wanachama/Washabeki should be condemned by all people in love of the prosperity of true and civilized democracy. I don't agree that you can't argue and convey your message without insulting. Mods please embark on Lunyungu and give him what he desrves from your package.
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.
Hivi JF ni ya Chadema jamani?? Kwani ni lazima wote tuwe chama kimoja wandugu? Mbona mnakuwa hamjui nidhamu za Demokrasia? Kama mmenuna kwa ukweli mnaopewa si mjibu kwa hoja jamani? Mapovu ya nini??
Tatizo watu wamechoka na utumbo wenu. Sio kila mwanaJF ni Chadema......Ila TUMECHOKAAAAAAAA.Hivi JF ni ya Chadema jamani?? Kwani ni lazima wote tuwe chama kimoja wandugu? Mbona mnakuwa hamjui nidhamu za Demokrasia? Kama mmenuna kwa ukweli mnaopewa si mjibu kwa hoja jamani? Mapovu ya nini??
Kwani amekosea wapi kuogogwa na Mti au kugogwa na Gari au kitu chochote kwani hilo ni tusi wewe English Learner hebu acha tafsiri zako za mitaani hapa JFThis kind of Wanachama/Washabeki should be condemned by all people in love of the prosperity of true and civilized democracy. I don't agree that you can't argue and convey your message without insulting. Mods please embark on Lunyungu and give him what he desrves from your package.
Wewe ni Premium member unayeandika hivi?? Unaboa sana. Lakini sishangai, ndo mlivyo CDM
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.
Mtoa mada atakuwa anazungumzia Arusha ya Mama yake na Mama!
Kama ni hii Arusha ya makamanda sahau!
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.
Safi sana mjitahidi watu hao wagumuChadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.