CHADEMA Arusha wameanza kutoa mapovu

CHADEMA Arusha wameanza kutoa mapovu

Huyu jamaa anataka kuharibu siku yangu.. Kama unataka comment nenda fb mkubwa..
 
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.

Nnaomba nikuite mjinga kwa hichi ulichoandika,ngoja nielekee kwenye bajeti.
 
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.

Hata kama ulikosea, yani badala ya kuandika Mikoa ya Kusini ukaandika Arusha. Bado taarifa yako itasomeka ki-propaganda zaidi.
 
Huyu Calculator ni mpotoshwaji mkubwa,kati ya Wilaya saba za mkoa wa Arusha ni wilaya moja tu ya Longido ccm wameweza kufanya uchaguzi wa ndani kwa 57%wilaya nyingine wameshindwa yaani watu hawajitokezi kugombea,maana yake ccm imekosa mvuto,kwa Arusha mjini zoezi limeshindikana kabisa,kama uchaguzi wa ndani ngazi za mashina na matawi walipo wanachama umeshindikana watashindaje kata?
Wakati hali kwa upande wa ccm ikiwa taabani,CHADEMA kwenye ngazi ya msingi imefanikiwa kwa 60%na zoezi la uchaguzi bado linaendelea hadi Agosti 31-2012
 
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.

What the hell! Mwambie aliekutuma bado hatujalala ki mawazo kama wewe na yeye....................
 
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.

Nadhani upeo wako unako elekea ni kuzimu, Nadhani rudi tena huko mtaani ukaulize au ukafanye tathimini kamili CCM vs CDM nanni ananguvu kubwa Arusha na ujue sasa watu wako macho kwa uchaguzi ujao na watu watakao kuja ni makini sana na huto amini hapo Halimashauli patakavyo waka moto mafisadi wote mlio tegemea kula mali na kuiba aridhi za wananchi wa arusha mtajuta na mtairudisha kwa hiari yenu. Natuma salamu hizi kwako ukawaambie wenzio wenye mtazamo kama huo wa kwako ati CCM inarudi labda kwa hao wanao uza mirungi hapo mjini kati maana hata kujishughulisha tuu hapana.
Mwapenda vya bwerere tukiingia CDM a.k.a M4C hatuto hendekeza upuuzi huo katiba iliyo ya nchi tuta watwanga nayo na tutakuja na katiba mpya pi a tunawatwanga nayo kifungu baada ya kifungu


 
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.
Nyie wapumbavu ndo mnaharibu chama chetu ccm, mnashindwa kuandika mambo ya maana mndika ujinga kama huu, huu ni upumbavu mkuu ndo maana watu watazidi kutukimbia!
 
We si CDM umezionaje dalili hizo, fafanua ueleweke au na wewe ni walewale?
 
Hivi JF ni ya Chadema jamani?? Kwani ni lazima wote tuwe chama kimoja wandugu? Mbona mnakuwa hamjui nidhamu za Demokrasia? Kama mmenuna kwa ukweli mnaopewa si mjibu kwa hoja jamani? Mapovu ya nini??

Hongera zenu! mtafanikiwa kwa kujipa moyo
 
Tujifunze kuenda na wakati, tusome alama za nyakati, watu wanataka nini na nini kinaleta maana machoni pa watanzania.
 
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.

CCM CHAMA CHANGU, DAMU YANGU CCM, WENYE HASIRA JINYONGENI:heh:

1250596627FullofShit.jpg
 
huyu jamaa anaongelea Arusha hii niliyopo au kuna nyingine! Kama ni hii nikwambie tu kuwa upo ndotoni.
 
huyu jamaa anaongelea Arusha hii niliyopo au kuna nyingine! Kama ni Arusha hii nikwambie tu kuwa upo ndotoni ukiamka utajitambua na sisi hatukusubiri uamke utatafsiri ndoto zako hukohuko ulipo.
 
Chadema wameshaanza kuona dalili za kupoteza kiti cha ubunge hapa Arusha. Vilevile viti sita vya udiwani vilivyopo wazi vyote vinarudi CCM na hivi ninavyowaletea huu uzi, viongozi wao wanasigana tu wasijue wanajipangaje. Kwisha kazi yenu.

Mtoa mada umeshindwa kujenga hoja:
1:Ni vipi viongozi wa cdm wanasigana.
2:Ni vipi ccm wamejihakikishia ushindi wa ubunge na udiwani;
hivyo,umejianika uchi na kudhihirisha wewe ndio unayetoa povu!
 
Hivi JF ni ya Chadema jamani?? Kwani ni lazima wote tuwe chama kimoja wandugu? Mbona mnakuwa hamjui nidhamu za Demokrasia? Kama mmenuna kwa ukweli mnaopewa si mjibu kwa hoja jamani? Mapovu ya nini??

Acha ujinga na maudhi hapa, huwezi ukawa unaleta demokrasia za kipuuzi kama hizi, kwanza hata maana ya demokrasia wewe hujui na humu JF huna ndugu k.enge wewe, it doesnt matter nini unapost hapa na hakuna mtu utakaye msabababishia na kumtoa povu mpuuzi mmoja wewe. na unanisababishia nianze kutafuta passwordzya ID zangu kama 9 hivi
 
Unagongwa wewe mbele ya wazazi wako huku wana angalia.Lete hoja za maana acha upumbavu na kutupotezea muda .You deserve a life ban taka wewe

mkuu Lunyungu! Nashukuru kwa kumtukana huyu gamba koz anaboa sana na thread za kitoto.
Pokea 100 likes...........
 
mkuu lunyungu! Nashukuru kwa kumtukana huyu gamba koz anaboa sana na thread za kitoto.
Pokea 100 likes...........

yani kweli muda wote huo, mnatoa mapovu tu, mimi nawasoma tu nacheka. Hivi kweli nyie ndo mnataka tuwape nchi?? Wote mnatukana, mnaongea kama watoto wa la kwanza. Mpaka mwenyekiti wenu nanyaro ephata kaja hapa kuongea *****, kweli kuna kazi kwenu
 
yani kweli muda wote huo, mnatoa mapovu tu, mimi nawasoma tu nacheka. Hivi kweli nyie ndo mnataka tuwape nchi?? Wote mnatukana, mnaongea kama watoto wa la kwanza. Mpaka mwenyekiti wenu nanyaro ephata kaja hapa kuongea *****, kweli kuna kazi kwenu

ha ha ha! Najua huo ni muwasho tu unaokusumbua subiri 2015 ndo utakunwa vzuri.
 
Hivi JF ni ya Chadema jamani?? Kwani ni lazima wote tuwe chama kimoja wandugu? Mbona mnakuwa hamjui nidhamu za Demokrasia? Kama mmenuna kwa ukweli mnaopewa si mjibu kwa hoja jamani? Mapovu ya nini??

JF sio ya chadema ni ya Great Thinkers! We unakuja na hoja dhaifu, ya kitoto ambayo hata mtoto wa miezi sita( i mean bado yupo tumboni) anadharau halafu unategemea eti upate support eti kisa ni demokrasia? Hebu tazama sasa ulivyoaibika, hakuna hata posti moja ilikuunga mkono! Ivi unajiskiaje hapo ulipo? Unapaswa uwe chini ya kitanda umejificha kwa aibu uliojitia. Next time usije na hoja za kidaku JF ni x-ray centre inakuchanachana mpaka maini kwa kutumia hoja.
 
Back
Top Bottom