PreGE2025 CHADEMA, ACT Wazalendo wamtaka Luhaga Mpina jimbo la Kisesa

PreGE2025 CHADEMA, ACT Wazalendo wamtaka Luhaga Mpina jimbo la Kisesa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771


Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025.

Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa vyama vya upinzani, akiwemo Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Kisesa, Tekla James, na mwanachama wa CHADEMA, Fabian Sai Masunga, walijitokeza kumuunga mkono Mbunge Mpina.

“Mpina hana shida, ila CCM ndicho chenye shida. Mtu mwema ni mwema tu, hata porini,” amesema Tekla James.

Naye Fabian Masunga amewataka wana-CCM waendelee kumuunga mkono Mpina, kwani anajua kazi na ana uchungu na wananchi.
 
View attachment 3367761

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025.

Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa vyama vya upinzani, akiwemo Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Kisesa, Tekla James, na mwanachama wa CHADEMA, Fabian Sai Masunga, walijitokeza kumuunga mkono Mbunge Mpina.

“Mpina hana shida, ila CCM ndicho chenye shida. Mtu mwema ni mwema tu, hata porini,” amesema Tekla James.

Naye Fabian Masunga amewataka wana-CCM waendelee kumuunga mkono Mpina, kwani anajua kazi na ana uchungu na wananchi.
Mpina anajua ccm hana chake
 
View attachment 3367761

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025.

Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa vyama vya upinzani, akiwemo Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Kisesa, Tekla James, na mwanachama wa CHADEMA, Fabian Sai Masunga, walijitokeza kumuunga mkono Mbunge Mpina.

“Mpina hana shida, ila CCM ndicho chenye shida. Mtu mwema ni mwema tu, hata porini,” amesema Tekla James.

Naye Fabian Masunga amewataka wana-CCM waendelee kumuunga mkono Mpina, kwani anajua kazi na ana uchungu na wananchi.
Kwani CHADEMA watashiriki Uchaguzi bila reforms?
 
View attachment 3367761

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025.

Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa vyama vya upinzani, akiwemo Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Kisesa, Tekla James, na mwanachama wa CHADEMA, Fabian Sai Masunga, walijitokeza kumuunga mkono Mbunge Mpina.

“Mpina hana shida, ila CCM ndicho chenye shida. Mtu mwema ni mwema tu, hata porini,” amesema Tekla James.

Naye Fabian Masunga amewataka wana-CCM waendelee kumuunga mkono Mpina, kwani anajua kazi na ana uchungu na wananchi.
Chadema haishiriki huo uchafuzi
 
View attachment 3367761

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025.

Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa vyama vya upinzani, akiwemo Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Kisesa, Tekla James, na mwanachama wa CHADEMA, Fabian Sai Masunga, walijitokeza kumuunga mkono Mbunge Mpina.

“Mpina hana shida, ila CCM ndicho chenye shida. Mtu mwema ni mwema tu, hata porini,” amesema Tekla James.

Naye Fabian Masunga amewataka wana-CCM waendelee kumuunga mkono Mpina, kwani anajua kazi na ana uchungu na wananchi.
wanajitahidi kumpoteza kisayansi sana aise 🐒
 
View attachment 3367761

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025.

Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa vyama vya upinzani, akiwemo Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Kisesa, Tekla James, na mwanachama wa CHADEMA, Fabian Sai Masunga, walijitokeza kumuunga mkono Mbunge Mpina.

“Mpina hana shida, ila CCM ndicho chenye shida. Mtu mwema ni mwema tu, hata porini,” amesema Tekla James.

Naye Fabian Masunga amewataka wana-CCM waendelee kumuunga mkono Mpina, kwani anajua kazi na ana uchungu na wananchi.
Fabian Masunga hana lake huyu. Kwa Kisesa kama CHADEMA ikiingia kwenye uchaguzi hawezi kushinda. 2020 kwenyewe alikuwa amepigwa na Mh. Francis Kishabi waliiba kura mchana kweupe na mwaka huu najua katasimama tena!
 
Back
Top Bottom