Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Balozi mwenyewe ni njaa tu inampeleka huko wakati moyo wake uko chadema bado. Pole sana ndugu yangu njaa haina adabu.
Ziro brain ulichokiandika wala hukielewiChadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Kwa hiyo hapo unaona raha kabisa.Kweli umasikini ugonjwa mbaya sanaKiburi si uungwana, si Umeona chamtema kuni walichokipata?, mbaya zaidi nyumbu ndo wamesagwa vibaya, Mbowe, Mnyika Salum Mwalimu, Mdee shwarii!. Watajitambua siku parapanda likilia
Hayo magoti utayapiga wewe na familia yako, mimi siwezi kumpigia magoti binadamu kama mimi.Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma
wewe ni kati ya wapumb...u wachache msio na hoja mliobaki lumumba,Mnashindwa kupambana kutafuta ushindi kwa halali mnasubiria goli la mkono kwa ufadhiri wa vyombo vya dola ambavyo si mali ya ccm ni mali ya watanzania wote.Mnafikiri chadema walivyo amua kurudi kwenye chaguzi walirudi kama mazombi?walijjua mnawapiga wapi.Eti kwa magu kila goti litapigwa?utapiga wewe na husband wako.magu siyo mungu wetu ni rais wetu, kama amechagua kumwaga damu kwenye utawala wake itamwagika lakini atailipa.Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Tafakarini na kufikiri kwa kina kabla ya kuandika, umeandika nini?????? WALAUMU HAO VIONGOZI WALIOPEWA DHAMANA NA WANAZITUMIA VIBAYA, WE ULITAKA WALIE KAMA CHAGUZI ZA MERU NA ARUSHA????? MBAAAAAVUUUUUChadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Kwani kosa moja linahalalisha lingine?Sasa haya uliyoaandika yote haya mbona point less??
1) ulitaka wafanyaje kama wananyimwa barua na hao wakurugenzi wa hizo halmashauri???
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Kwahiyo ukinyimwa fomu ndio uandamane? Halafu kosa la kuandamana bila kibali litafunikwa na la kunyimwa fomu?Huu upumbavu peleka Lumumba. Hivi huyo anayeitwa Mkurugenzi angewapa form kama alivyofanya kwa wakala wa CCM angekufa .CCM kubalini tu hampendwi acheni kuua watu .Leo tu mmeua watu wanne kisa form. SHAME ON YOU
Kwa kufuata utaratibu wa kutoa taarifa polisi masaa 48 au zaidi kabla ya kufanya mkutano/maandamano.Kuandamana ni haki ya kimsingi kikatiba
Umeandika uharo tupu ilitakiwa umwandikie DED wa ccm kino,kura labda mkaibe kule nyumbani kwa mwenyekiti wenu kesho mtazaa kwa uchunguChadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Mku kujitoa akili kwake ndiyo anapata ujira wake kujipendekeza kwake ndio tumbo lipate kushibaHivi na wewe mtoa uzi wazazi wako wanajivunia wana mtoto mwenye akili timamu? Ilipokuwa NCCR Mageuzi wana nguvu mliwaandika wanataka kuliletea maangamizi Taifa, CUF ilipopata nguvu mkawa mnatoa hadi mapanga mkidai chama cha cuf kimeagizia. Kimeingia CHADEMA mnaanza propaganda zenu.
Awamu hii CHADEMA haitapotea kwenye anga la siasa za Tanzania. Kama hayakuwa maandamano halali mbona wametoa karatasi za viapo kwa mawakala.
Kesho lazima Kinondoni atangazwe Salum Mwalim iwe mvua iwe jua.
Pipooooooooooz.
Huo utumbo waambie wajinga wenzio. Unazuia maandamano kwa sheria ipi na katiba ipi?Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Yeah yeah mandawa yamoto ni moto...dawa ya sizonje ni undava ili tuheshimiane.