Chadema acheni huu mchezo hili Taifa letu sote

Chadema acheni huu mchezo hili Taifa letu sote

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,275
Reaction score
14,315
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.

Sasa haya uliyoaandika yote haya mbona point less??

1) ulitaka wafanyaje kama wananyimwa barua na hao wakurugenzi wa hizo halmashauri???
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.

Huu upumbavu peleka Lumumba. Hivi huyo anayeitwa Mkurugenzi angewapa form kama alivyofanya kwa wakala wa CCM angekufa .CCM kubalini tu hampendwi acheni kuua watu .Leo tu mmeua watu wanne kisa form. SHAME ON YOU
 
Hivi na wewe mtoa uzi wazazi wako wanajivunia wana mtoto mwenye akili timamu? Ilipokuwa NCCR Mageuzi wana nguvu mliwaandika wanataka kuliletea maangamizi Taifa, CUF ilipopata nguvu mkawa mnatoa hadi mapanga mkidai chama cha cuf kimeagizia. Kimeingia CHADEMA mnaanza propaganda zenu.

Awamu hii CHADEMA haitapotea kwenye anga la siasa za Tanzania. Kama hayakuwa maandamano halali mbona wametoa karatasi za viapo kwa mawakala.

Kesho lazima Kinondoni atangazwe Salum Mwalim iwe mvua iwe jua.

Pipooooooooooz.
 
Mimi binafsi sipendi siasa hilo la kwanza... Pili naona mkuu umekurupuka kuandika huu uzi na hauna uzito nakushauri waambie na fisiemu wasitumie polisi Kwa maslahi ya chama na wasitumie vyombo vya intelligence kuwatesa upinzani.. Kuwapiga n.k..
Tatu ukifatilia siasa kama sio mwanasiasa unapoteza energy bure maana hawana maana...
Fisiem majambazi.. Wale wengine wezi

Siasa mchezo mchafu Angalia usitumike vibaya kwa ajiri ya matumbo ya wachache
 
Sasa haya uliyoaandika yote haya mbona point less??

1) ulitaka wafanyaje kama wananyimwa barua na hao wakurugenzi wa hizo halmashauri???
Kiburi si uungwana, si Umeona chamtema kuni walichokipata?, mbaya zaidi nyumbu ndo wamesagwa vibaya, Mbowe, Mnyika Salum Mwalimu, Mdee shwarii!. Watajitambua siku parapanda likilia
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.

Mpaka sasa mmeshatengeneza chuki , taifa lenu linapoelekea kuna siku utapaona pachungu hapo

Hata mbuyu ulianza kama mchicha ,

Mtavuna mnacho kipanda , wait and you shall see the pictures
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Madaktari wanasubili nini kukupima ww akili, inawezekana waya moja umekatika!
 
Tunajua kuwa CCM inapumulia mashine na wanaowapa kiburi ni NEC na Jeshi la Polisi.

Mpaka hivi sasa Chadema hawajapata barua za kuwatambulisha mawakala wao

Sasa unategemea Chadema wafanye kipi kama si kuzidai kwa nguvu kwa huyo Mkurugenzi wenu ambaye ni kada wa CCM??

CCM wakiruhusu uchaguzi huru na wa haki ni wepesi zaidi ya tissue paper
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Umeandika upumbavu wa Hali ya juu.
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Kwanini umepoteza muda wako kuandika ujinga? Ama haujui kuwa in the process unatupotezea muda kwa kusoma ujinga?

Hata kama unafurahiwa sana na huu utawala, this is too much. Si ufanye something else kuliko huu ubwege? Maana hata kueleweka hauweleweki. Unagunaguna tu kama kuna kitu kinakufurahisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom