kwembe87
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 741
- 675
wewe na upuuzi wako wa ccm tnajua maandamano ni haki ya kikatiba najua mmezidiwa mbaya mmepagawa sana hao polisi tutpambana nao keshoChadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.
Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.
Moderator usifute huu uzi tunaijuwa chadema kinyume nyume huyo mgombea wao pale chuo fulani alisababishia watu majanga makubwa sana yeye akijifanya mwanaharakati kumbe yupo kwenye payral ya chadema nani asie juwa huu ujinga.
Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?
Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.