Chadema acheni huu mchezo hili Taifa letu sote

Chadema acheni huu mchezo hili Taifa letu sote

Mtu anasema hapendi mambo ya vyama. Anasema yeye anapenda maendeleo.

Mtu huyo huyo asiyependa mambo ya vyama anateua wakurugenzi na kuwapa warning wasiapishe wapinzani.

Mteule wake mwenye kashfa ya rushwa anapandishwa cheo.

Hii chuki anayopanda anaweza asione matokeo yake. Lakini watoto au wajukuu wetu wanaweza wasikute Tanzania yenye amani na ushirikiano.

Endeleeni kujitoa akili na kutetea upumbavu kulinda matumbo yenu. Muda utaongea.
 
Nikujibu hivi. Amani iIkikosekana kwa njia ya mazungumzo hutumika njia nyingine kuleta Amani. Mojawapo Ikiwa ndiyo hiyo iliyotumika. Kwa kifupi hakuna Mwananchi au kikundi cha watu waliokusanywa waandamane. Ila Wananchi wamechoka. Narudia tena WAMECHOKA.
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.

Ku ma la mama yako
 
Tumia akili wewe,huoni baada ya hicho usichokipenda hati za kiapo wamepewa?Halafu hujiulizi ni kwanini watu wa lichama lako walishapewa isipokuwa chadema?Logic IPO wapi hapo?Mnachekelea upumbavu wakati nchi inaelekea kubaya!Hivi watu wengine Mungu amewaumbaje?
Kuna wakati inabidi msitulaumu tunapowatupa chooni sasa mtu kama mleta mada anafaida gani kwa taifa?
 
Sielewe tu ni kwanini ukiwa Ccm au shabiki wake ule uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo unakufa natural death
Kumbe na wewe umenotice hiyo kitu?

Mimi nadhani ni kwasababu utaanzia wapi kweli kuisifu ccm kwa akili timamu za kawaida kama wewe siyo mmojawapo wa wale wanaofaidika na system? Na hao pia hawawezi kuwa na hoja. Wataanzia wapi kuulezea “uzuri” wa ccm uliotuacha maskini toka uhuru?
 
We jing@ kweli. Mipango ya kuandamana na mipango ya kuwapa pesa wabunge wajiuzulu na kugombea tena ipi yenye athari kwa taifa???zwazwa we
 
Umesema vyema madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka kwanini ccm hawasubili wapiga kura waamue kama si urafi wa madaraka wanatumia polisi wanatoa maagizo tume ya uchaguzi mawakara wa ccm wamepewa fomu kuthibitishwa wa upinzani hawakupewa simama kati uitakie nchi yako amani na upendo tupate maendeleo
 
TumainiEl unawatafutia watu ban za makisudi, wako ni upumbavu, kwa nini usimshambulie Huyo DED aloyewanyima viapo? Wacha ujinga wewe

@Mods munisamehe tu,
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Mbona CCM wanaandamana kila baada ya mkutano wa kampeni?
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Wewe masikini unadhani utamtisha nani humu ? Tutapambana hadi haki ipatikane kudadeki ! Mugabe kanywea ndio awe huyo wako ? Tendeni haki ilete amani , vinginevyo mtashindwa vibaya sana !
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Acha upuuzi, mnang'ang'ania viapo mpaka mnamwaga damu ndipo mnavitoa. Hovyooo
 
Chadema mipango yenu sio mizuri kwa taifa nihatari kuliko kukutana na magaidi wanao jitoa muhanga.

Kama umeambiwa huna kibali chakuandama wewe kwa akili timamu unakusanya watu nakusema waandamane huo ni ujinga kama sio uhaini.

Kile chadema wanakifanya chini ya mwamvuli wa democrasia siku waweza kuwa uhaini. Kwanini kama chadema ni chama kweli cha siasa wasitumie njia stahiki kutafuta haki kwanini chama hiki kitumie maandamano yasio halali wapige picha nakuzirusha vyombo vya nje hiki ni chama ama ni kundi lawahalifu?

Mambo yanatishasana ila kwa Magu kila goti litapigwa na hao wanao fikiri sheria itawaonea huruma wakumbuke hujuma huzimwa kwa hujuma ujinga hatutaki.
Madhara yanawapata watanzania kwa tamaa zenu za madaraka lazima mfike mahali mkutane nakibao Stop.
Inatosha.
Mwambie Magufuli na Bashite wajipe kama kunywa damu za watu ndio kuongoza basi wajihesabie maumivu maana watu wameshachoka kuuwawa
 
WEWE UNADHANI BILA KUFANYA VILE HZO FORM WANGEPATA? CCM WALISHAPEWA KWANIN WAO WASIPEWE? CDM YA LEO NDYO CDM HALIS NA NDYO WATZ WANAVYOTAMAN IWE.. NASHAURI KILA INAPOBD WAFANYE HVYO, VYOMBO VYA DOLA VINA WAJBU WA KUJULISHWA KUWA WATZ WANA NGUVU KULIKO WAO KWA SABABU HUWEZ KUUA WANANANCH WOTE WA DAR AU TZ.. NA HAKUNA ALYEWAH KUFANIKISHA HLO, HATA IDI AMIN ALIUA LAKN HAKUWEZA KUUA WAGANDA WOTE
 
Kama viongizi wa dini hawatakaa kitako na kuzungumza na mkuu hii nchi itakuwa vitani soon!
Wake up people. Wengine they have nothing to lose but ccm has everything to lose!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom