Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
CHADEMA wanapenda kutafuta attention,wakati Rais hajarudi au kabla ya hapo hawakupanga kuwatembelea wahanga wa mafuriko Katesh, Rais katoka Dubai na wao wanapanga tarehe hiyo hiyo kwenda Katesh! Kama siyo chokochoko na kutafuta attention ni nini?
Walikuwa hawana mpango baada ya kuwakosoa humu nao wanapanga ratiba sawa na Rais, Hivi Rais aende na wao waende na magwanda kama siyo kuleta ushabiki wa kisiasa na vurugu ni nini? Basi hata wangemtuma mwakilishi.
Kila kinachofanyika CHADEMA lazima walete siasa, sasa wameanza kutaka huruma kwamba wamezuiliwa, ratiba ya Rais na nye pia hapo hapo? Vyombo vya ulinzi vilifanya jambo la maana kuliko kuleta fedheha kwenye jambo nzito hii
Pia soma > CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa
Walikuwa hawana mpango baada ya kuwakosoa humu nao wanapanga ratiba sawa na Rais, Hivi Rais aende na wao waende na magwanda kama siyo kuleta ushabiki wa kisiasa na vurugu ni nini? Basi hata wangemtuma mwakilishi.
Kila kinachofanyika CHADEMA lazima walete siasa, sasa wameanza kutaka huruma kwamba wamezuiliwa, ratiba ya Rais na nye pia hapo hapo? Vyombo vya ulinzi vilifanya jambo la maana kuliko kuleta fedheha kwenye jambo nzito hii
Pia soma > CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa