Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,266
- 5,858
Jamaa mmoja alikuwa anapiga chabo
dirishani hapa street kwetu, wakati wana ndoa wakiwa
kwenye mahaba, mara huko nje ya
nyumba akawa anakatiza mtu na baiskeli aliyekuwa
ghafla tairi la baiskeli yake
liliburst na kulia puuuuu!
wanandoa humo ndani ya nyumba waliposikia mlio
wa kubusrt tairi wakatulia kwanza kufanya tendo,
mpiga chabo dirishani
akajisahau akasema
"nyie endeleeni nipancha tu''
watu hoi kwa kicheko.:msela:
dirishani hapa street kwetu, wakati wana ndoa wakiwa
kwenye mahaba, mara huko nje ya
nyumba akawa anakatiza mtu na baiskeli aliyekuwa
ghafla tairi la baiskeli yake
liliburst na kulia puuuuu!
wanandoa humo ndani ya nyumba waliposikia mlio
wa kubusrt tairi wakatulia kwanza kufanya tendo,
mpiga chabo dirishani
akajisahau akasema
"nyie endeleeni nipancha tu''
watu hoi kwa kicheko.:msela: