Mh huyo ni mwizi anapigwa mawe au
Sasa kwani mshana amewavunja moyo?
Amewadhihaki?
Au alivosema cha tarime ndio umeona kama hajivunii nao
Me mtazamo wangu naona Hakuna kosa as long ni Watanzania wenzetu na ni watu kama sisi na pia wana hisia kama sisi sioni ajabu kufurahi
Mi najua amemsifia.... kusema hiki ni kifaa cha Tarime ni sawa na kusema Messi ni kifaa cha Barcelona.Mshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
Ushujaa wa kujipasulia matofali dhaifu kichwani?Mshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
Najua wazi umenielewa ndivyo sivyo.. GENTAMYCINE ila hakuna dhihaka yoyote niaminiMshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
Makomandoo gani wanapiga wake zao kila siku na kuwachoma visu?Mshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
Sasa mbona wanawakimbia panyaroadWa kwetu kila siku kuvunja matofali mabichi ya mchanga uwanja wa Taifa
ww mtt wa kitanga laini laini acha kudhihaki kabila la majembe.Makomandoo gani wanapiga wake zao kila siku na kuwachoma visu?
Makurya ile jadi ya Kunywa Uharo wa Mbuzi uliochanganywa na Damu Unawaharibu akili.
Makomandoo gani wanapiga wake zao kila siku na kuwachoma visu?
Makurya ile jadi ya Kunywa Uharo wa Mbuzi uliochanganywa na Damu Unawaharibu akili.
Nidhamu ya uoga!!!Mshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
Teh teh teh.Afadhali Umewachokoza WAKURYA Wenyewe Hivyo Watakuja Wenyewe ILA Mimi MZANAKI NILIYETUKUKA Naamini UKOMANDOO Wetu au UKAKAMAVU Wetu Uko Hasa KICHWANI Kwa Kuwa Na UWEZO MKUBWA Wa KUFIKIRI Ambao Uliwaongozeni Watanzania Kwa Miaka Yote 22 Na Mkawa Mnafuata Wanachosema WAZANAKI Na Mpaka Sasa Bado WAZANAKI Tunaiongoza Na Kuitawala Nchi Hii Kwa Mbinu Zetu Za Ndani Kabisa Tulizokuja Nazo Miaka Ya 1890 Kutoka Nchini Rwanda Ambako Tumewaacha Ndugu Zetu Wa Damu WATUTSI. Wazanaki Hatujajaaliwa Hiyo MIGUVU Yenu Ila Upstairs TUMETUKUKA Kwa UPEO, MBINU Na MAARIFA.
Kwan mzee unataka wafanye mazoezi magumu ya nini? Wakati wazanzibar hawafiki hata milion 2?Wa kwetu kila siku kuvunja matofali mabichi ya mchanga uwanja wa Taifa
Teh teh teh.ww mtt wa kitanga laini laini acha kudhihaki kabila la majembe.