Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
..Tanzanians, a man like this is hard to get,.....rare like black diamonds!..tusiichezee nafasi tuliyopewa na mungu.
Huu ni mfano wa kuigwa hata Mandela alifanya hivyo hivyo.................Ni dalili njema ya kutokuwa na uchu wa madaraka................
Dr. ana umri mkubwa pia hivyo ni sawa kusema hatagombea infact hata asingesema nadhani hilo liko wazi.