CEO JKT Tanzania ameiabisha taasisi ya umma kwa uchawi michezoni, hafai

CEO JKT Tanzania ameiabisha taasisi ya umma kwa uchawi michezoni, hafai

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Hakuna jambo kubwa linaloweza kufanyika ndani ya taasisi bila CEO kufahamu na kuruhusu lifanyike. Kama anafahamu anajua na kama hafahamu anajua pia kuajibika kuko palepale.

JKT Tanzania wameonesha vitendo vya ushirikina michezoni kwenye mechi ya nusu finali na yanga. Hii sio sawa kwa timu ya jeshi la Tanzania ambalo ndio "gold standard" ya uwadilifu na nidhamu nchini. Bila shaka hii sio tabia ya JKT Tanzania bali CEO wa timu ambae ni raia .

Kabla ya TFF kuiadhibu JKT Tanzania kwa ulozi JKT Tanzania wamuajibishe CEO wake kwanza na haraka kwa aibu hii.
 
Unaweza ukathibitisha hivyo vitendo ni vya kishirikina????

Unaweza Ukathibitisha vimefanywa na CEO ?????

AU na chuki binafsi na Jemedari.

PUNGUZA WIVU WEWE NI MWANAUME SIO SHOGA.
 
Unaweza ukathibitisha hivyo vitendo vya Ushirikina?????

Una chuki binafsi na Jemedari.

PUNGUZA WIVU WEWE NI MWANAUME SIO SHOGA.
Sio unapayuka,unajifanya kuwaponda wanao futilia mpira ila ukauki humu JF Sports, sijui na wewe ni chizi,kama unavyo waita wenzio.

Haya clip hiyo hapo,sasa sijui na hii utabishana nayo.

View: https://www.instagram.com/reel/DJzNsRyqiI1/?igsh=MWxneXR0dnQ3ZGJ0YQ==

Sasa sijajua wewe ndiye Punga na huyo uliye mjibu kavulata ni mwanaume au ndio uliteleza.
 
Hakuna jambo kubwa linaloweza kufanyika ndani taasisi bila CEO kufahamu na kuruhusu lifanyike. Kama anafahamu anajua na kama hafahamu anajua pia kuajibika kuko palepale.

JKT Tanzania wameonyesha vitendo vya ushirikina michezoni kwenye mechi ya nusu finali na yanga. Hii sio sawa kwa timu ya jeshi la Tanzania ambalo ndio "gold standard" ya uwadilifu na nidhamu nchini. Bila shaka hii sio tabia ya JKT Tanzania bali CEO wa timu ambae ni raia .

Kabla ya TFF kuiadhibu JKT Tanzania kwa ulozi JKT Tanzania wamuajibishe CEO wake kwanza na haraka kwa aibu hii.
Jeshi la Wachawi wa Tanzania (JWTZ)
 
Hakuna jambo kubwa linaloweza kufanyika ndani taasisi bila CEO kufahamu na kuruhusu lifanyike. Kama anafahamu anajua na kama hafahamu anajua pia kuajibika kuko palepale.

JKT Tanzania wameonyesha vitendo vya ushirikina michezoni kwenye mechi ya nusu finali na yanga. Hii sio sawa kwa timu ya jeshi la Tanzania ambalo ndio "gold standard" ya uwadilifu na nidhamu nchini. Bila shaka hii sio tabia ya JKT Tanzania bali CEO wa timu ambae ni raia .

Kabla ya TFF kuiadhibu JKT Tanzania kwa ulozi JKT Tanzania wamuajibishe CEO wake kwanza na haraka kwa aibu hii.
Safi sana ulichoandika,ila naomba nikusahihishe kuwa nano sahihi ni kuonesha sio kuonyesha,neno kuonyesha kitenzi chake ni onya hivyo kuonyesha ni kutoa onyo sio kuonesha
 
Unaweza ukathibitisha hivyo vitendo vya Ushirikina?????

Una chuki binafsi na Jemedari.

PUNGUZA WIVU WEWE NI MWANAUME SIO SHOGA.
Umeumbuka, umeinajisi taasisi nyeti sana kwa ulozi. CEO alipaswa kulala lingoma baada ya mechi ile kumalizika.
 
Hakuna jambo kubwa linaloweza kufanyika ndani taasisi bila CEO kufahamu na kuruhusu lifanyike. Kama anafahamu anajua na kama hafahamu anajua pia kuajibika kuko palepale.

JKT Tanzania wameonyesha vitendo vya ushirikina michezoni kwenye mechi ya nusu finali na yanga. Hii sio sawa kwa timu ya jeshi la Tanzania ambalo ndio "gold standard" ya uwadilifu na nidhamu nchini. Bila shaka hii sio tabia ya JKT Tanzania bali CEO wa timu ambae ni raia .

Kabla ya TFF kuiadhibu JKT Tanzania kwa ulozi JKT Tanzania wamuajibishe CEO wake kwanza na haraka kwa aibu hii.
Una maanisha,
CEO ya Chief Executive Officer au
CO ya Commanding Officer 🤔
 
Safi sana ulichoandika,ila naba nikusahihishe kuwa nano sahihi ni kuonesha sio kuonyesha,neno kuonyesha kitenzi chake ni onya hivyo kuonyesha ni kutoa onyo sio kuonesha
Sawa lakini hatuko darasani, jibu hoja hii. JKT Tanzania ni taasisi ya watanzania wote, ni yetu pia. Hatuhitaji ishinde kwa ndumba maana sote tunafahamu wanaocheza mule wote ni watanzania, hivyo hatushangai kama itafungwa na timu zilizojaa wachezaji wageni wengi kama yanga. Kwanini uronge?
 
Hakuna jambo kubwa linaloweza kufanyika ndani taasisi bila CEO kufahamu na kuruhusu lifanyike. Kama anafahamu anajua na kama hafahamu anajua pia kuajibika kuko palepale.

JKT Tanzania wameonyesha vitendo vya ushirikina michezoni kwenye mechi ya nusu finali na yanga. Hii sio sawa kwa timu ya jeshi la Tanzania ambalo ndio "gold standard" ya uwadilifu na nidhamu nchini. Bila shaka hii sio tabia ya JKT Tanzania bali CEO wa timu ambae ni raia .

Kabla ya TFF kuiadhibu JKT Tanzania kwa ulozi JKT Tanzania wamuajibishe CEO wake kwanza na haraka kwa aibu hii.
Viongozi wa Yanga, kwenye nguo zao za ndani kumejaa vinyesi- Haji Manara akimnukuu Wallace Karia,
 
Nithibitishie kama Hapo CEO amehusika.
Kama Sio yeye, atuambie ni nani kampa mchezaji uchawi wa kufukia kwenye eneo la penalti.

Hii imetufungua macho, timu zote zikicheza na timu fulani fulani zenye ukuruba na timu fulani ziangalie zaidi kwenye eneo la kipigia penati.
 
Kama Sio yeye, atuambie ni nani kampa mchezaji uchawi wa kufukia kwenye eneo la penalti.

Hii imetufungua macho, timu zote zikicheza na timu fulani fulani zenye ukuruba na timu fulani ziangalie zaidi kwenye eneo la kipigia penati.
MAUTOPOLO YAKIVUNJA MLANGO TAIFA ANAYEHUSIKA ANAKUWA NI MTINE?????

Msicheze na wanajeshi vijana
 
MAUTOPOLO YAKIVUNJA MLANGO TAIFA ANAYEHUSIKA ANAKUWA NI MTINE?????

Msicheze na wanajeshi vijana
Ukishakuwa mkuu wa taasisi lolote litakalo tokea chini ya usimamizi wako lazima uwajibike. Ukiangalia ulaya viongozi wanao jiudhulu sio kwamba wao wamekosa,sometimes hata watu wake wa chini wanao msimamia wakikosea lazima awajibike.
 
Huna akili, mashabiki wa yanga hawako chini ya CEO wa yanga, ila wachezaji wako chini ya mipango ya CEO Moja kwa moja. Walioweka uchawi pale hawakuwa mashabiki wa JKT Tanzania, ni wachezaji ambao wako chini ya CEO Moja kwa moja
MAUTOPOLO YAKIVUNJA MLANGO TAIFA ANAYEHUSIKA ANAKUWA NI MTINE?????

Msicheze na wanajeshi vijana
 
Watuambie yule mchezaji wao alikuwa akifanya nn kwenye eneo la kupigia penati. Alikuwa mchezaji wao au la. Kama mkwakwani waliweza kufanya vile mbe ya camera na watazamaji, je, huko kwao general Samuyo kukoje?
Hiiiiiiiii! Mkuu utapigwa hutasahau! Shauri yako
 
Back
Top Bottom