Centre ya kufundishia Computer Short Course

Santieli

Member
Apr 30, 2014
57
75
Salama wa kuu.

Nina ndoto iliyodumu kwa muda wa miaka 6 sasa. Ndoto yenyewe ni kuanzisha centre ya ufundishaji wa computer short course ya three months na kisha kutoa certificate kwa wahitimu itakayo tambuliwa na mamlaka au taasisi mbalimbali.

Je, utaratibu upi unatakiwa kufuatwa kwa NACTE ili kuweza kuidhinishwa kufanya haya?

Ushauri tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
www.nacte.go.tz

Salama wa kuu.

Nina ndoto iliyodumu kwa muda wa miaka 6 sasa. Ndoto yenyewe ni kuanzisha centre ya ufundishaji wa computer short course ya three months na kisha kutoa certificate kwa wahitimu itakayo tambuliwa na mamlaka au taasisi mbalimbali.

Je, utaratibu upi unatakiwa kufuatwa kwa NACTE ili kuweza kuidhinishwa kufanya haya?

Ushauri tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom