Santieli
Member
- Apr 30, 2014
- 57
- 75
Salama wa kuu.
Nina ndoto iliyodumu kwa muda wa miaka 6 sasa. Ndoto yenyewe ni kuanzisha centre ya ufundishaji wa computer short course ya three months na kisha kutoa certificate kwa wahitimu itakayo tambuliwa na mamlaka au taasisi mbalimbali.
Je, utaratibu upi unatakiwa kufuatwa kwa NACTE ili kuweza kuidhinishwa kufanya haya?
Ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina ndoto iliyodumu kwa muda wa miaka 6 sasa. Ndoto yenyewe ni kuanzisha centre ya ufundishaji wa computer short course ya three months na kisha kutoa certificate kwa wahitimu itakayo tambuliwa na mamlaka au taasisi mbalimbali.
Je, utaratibu upi unatakiwa kufuatwa kwa NACTE ili kuweza kuidhinishwa kufanya haya?
Ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app