Waridi
JF-Expert Member
- Mar 30, 2008
- 1,025
- 173
mkuu hii hatari kwa pande zote,hasa zanzibar walioonyesha kuzidiwa.!
kama wamechoka mbona hawajafanya substitution yoyote jamani!
mkuu hii hatari kwa pande zote,hasa zanzibar walioonyesha kuzidiwa.!
Full time 2-2.
Jamani huyu jamaa kakurupuka kutoka wapi na madevu yake kama sharubu za kichina?!
mkuu msamehe bure atakua ametoka jukwaa la siasa,amekuja kupumulia huku.!
mkuu najua ni 2 2 lkn ndo natia timu shemeji yako alikuwa amening'ang'ania mpira ulikuwaja kwa ufupi!
Hivi ile ni offside kweli au jamaa wamenyimwa goli?
mkuu najua ni 2 2 lkn ndo natia timu shemeji yako alikuwa amening'ang'ania mpira ulikuwaja kwa ufupi!
Hapana mkuu kwana ule mpira ulikuwa tayari umetoka nje kwa hiyo wakati anapiga ukamkuta jamaa kwenye nafasi nzuri kaweka kimiani kwa shoto lake,lakini ndiyo hivyo tena,wala sio offside!!!!!!!!!!
Ule Mpira ulikuwa umetoka mkuu....mfungaji hakuwa offside....Makoye Matale mkuu wangu tayri nimeingia home,jambo la kwanza nimefika tu nikawasha kadeo kangu,nimemkuta huyu mtangazani wa TBC anaitwa Chacha Maginga ambaye hajui kutangaza hata chembe yani asema baada ya tukio kutokea na dakika zikapita mbili,mpira umetoka nje mtu kapiga krosi wamefunga zenji refa kakata eti anasema mfungaji yuko oofside?!
Half time of Extra Time.