Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Acha wivu wewe mnazi wa Yanga. Azam mashine kubwa.
Poleni sana kwa kuajiri galasa Marcio.
Huyo Phiri mmemuajiri kwa mara ya ngapi? Angekuwa mali si angebaki Msimbazi milele? Mkimtimua safari hii mtamtafuta yule Siang'a wa Kenya.