Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
kweli ni noma sana..
Hakunaga kama siku ya leo.
Kila ninayekutana naye nsmchapa 10,000/=. Nimefurahi sana Azam kutolewa, wajifunze kucheza fair play. Walitakiwa kukataa mwaliko wa kifisadi uliotengenezwa na Musonye. Bila shaka Musonye ataanzisha mashindano mengine ili Azam washiriki tena. Shame on you Musonye forever.