Rugby Union
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 402
- 255
- Thread starter
- #161
KCCA ni zamu yao sasa, anakosaaaa.....
Sisi waabntu weusi. Halafu usiwe mnafiki, kuna watu humu wanajiita Liverpool damu huwakondei lakii mimi kidogo tu imeuma.Sisi kivipi??????? We mganda au
kweli ni noma sana..
Mheshimiwa 'Spika' naomba kutoa taarifa kuwa mashindano ya CECAFA yamefanyika na kukamilika kwa muda uliopangwa. Aidha timu ya Azam ilitolewa na El-Merreikh na kwamba hao El-Merreikh wameifunga timu ya APR 1-0 katika mchezo wa fainali. Kwa matokeo hayo El-Merreikh wamevikwa taji la ubingwa wa Vilabu vya Musonye Afrika Mashariki na Kati mwaka 2014.
Mheshimiwa 'Spika' naomba kutoa hoja.
Daaah bora sana,nilikuwa siipendi APR kweli